Hivi watu weusi duniani kote tuna matatizo? Haiti ina miaka zaidi ya 200 ya uhuru lakini maendeleo haifikii South Korea

Ili swali najiulizaga kwanini tumeshindwa kupangilia miji yetu
Nenda dodom- CDA walifanya kazi nzuri kupangilia mji, wakatenga viwanja vya makazi, biashara, sehemu za burudani, kupumzikia, nyumba za Ibada, etc. magufuli kaja kwa papara akavunja CDA, kila kitu wakapewa halmashauri ya jiji. Zile open space zote wamekatakata wameuza viwanja (slums)
 
Hii story ni tungo tu za wayahudi kujustify kutumikisha watu wengine na pia wazungu wakaitumia kujustify kutumikisha waafrika ila havina ukweli wowote .. hamna ushahidi wowote kwamba huyo ham alikuwepo, au hio Noah's flood story...most importantly hamna ushahidi kwamba kizazi hicho ndo waafrika..tuliingizwa mkenge tu na kuamini wazungu
 
Inasikitisha sana, miji mingi wanayokaa weusi US iko hovyo sana, hakuna jambo mweusi anafanya vizuri.
 
Mbona huko mbali? Tunahongwa kofia, fulan na kanga tunamchagua tusie mtaka!!!!!
 
Tatizo linaanzia kwenye Ngozi, linafuatia kwenye akili

Hii ngozi tu yenyewe ni tatizo, ina laana ya tangu enzi

Popote wanapoishi watu weusi kuna matatizo makubwa, Ujinga mwingi na Uchafu usiokoma, sio Africa, America, Australia na kwingineko

Watu weusi kiasili wana shida zifuatazo:-

1) Wavivu sana wa kufanya kazi za kutumia akili

2) Sio Wabunifu wala Wagunduzi, wala akili haiwazi kubuni au kugundua chochote chenye manufaa kwa Wanadamu wenzie

3) Hatupendani (Hatuna Upendo) ila tuna Unafiki kwa asilimia kubwa sana

4) Hatuna maarifa

5) Watu weusi ni Waharibifu, hata wakitengezewa vyoo vizuri, Fly overs, viwanja vya michezo n.k watakojolea huko na kuharibu kila kitu na hawataweza kurepair

6) Watu weusi ni WEZI na MAFISADI..wako radhi waibe pesa zote katika hazina ilihali watoto hawana madawa mahospitalini
 
Ukisoma vitabu vingi vya wazungu toka enzi za ukoloni walishaandika kwamba blacks can never manage themselves. Walishaona na kuishi nao. Sisi ni aina tofauti ya binadamu, siyo waungwana, si wakweli n.k ndiyo maana tunasachiwa sana huko kwenye viwanja vya ndege vya watu.
 
Tumwambie au Tumuache???
 
Umefundishwa hivo tangu uko tumboni kwa mama ako !Hatuwezi kukubadili
 
Unauhakika kua mtu mweusi hawezi jiongoza!

Kama hivo ndivyo kwanini Wazungu wanahangaika kuua Vingozi bora wa africa ambao wamekataa kua vibaraka
1.Patric Lumumba
2.John sankara
3.Magufuri
4.Gadafi
 

Attachments

  • CE746F70-360B-4072-B817-8D547E5A0416.jpeg
    61.2 KB · Views: 6
Haiti ni watumwa tu Waafrica kabisa tena wa manzese uwanja wa fisi walipelekwa kulima Miwa na wareno na Spaniola.
Wametoka Angola,Moçambique,Nigeria na nchi zingine hapahapa Africa.
So unategemea hao watu watakuwaje.
Inasikitisha kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…