SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
CCM ni nchi?We unaona Nchi ya Haiti na CCM wana tofauti?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM ni nchi?We unaona Nchi ya Haiti na CCM wana tofauti?
We unaonajeCCM ni nchi?
Laana wanayo watoto zako. na Familia yako yote.Waafrika wana upumbavu wa milele.
Jibu swali na sio kujipumbaza. CCM ni nchi?We unaonaje
Jitenge tu. Watu weusi wana mambo meusi sana.Mtu mweusi ni kama ana laana hivi, mfano juzi waziri anaulizwa hali ya uchumi anasema mambo ni shwari kwa sababu kila akitembea njiani anaona gari namba E pia watu wananchangia sana michango ya harusi, sasa kama hiyo ni akili ya mtu aliyepewa wadhifa wa kusimamia uchumi wa watu takribani milioni 60 na ni msomi wa kiwango cha Phd hao walio ishia kidato cha nne watakua na fikira gani??!! kuna maana nyingine ya laana zaidi ya hii kweli??????
Mimi binafsi ningezaliwa ngozi nyeupe ningejitenga na kuwabagua watu weusi kwa sababu inaonekana bado hawajamaliza process ya evolution na kuwa binadamu kamili
Moja wapo ya matatizo ya jamii ya kiafrika ni kuwa na watu wa aina yako,ambaye ana dhani kuwa kumchukia aliye kuzidi ni moja wapo ya mafanikio.popote unapomwona mtu mweusi,au mwarabu aliyeshika dini kunakuwa na tabia zinazofanana.
ukitaka kujua watu weusi tuna matatizo angalia mambo wanayofanya ccm,yaani hawana shida nyingine zaidi ya kuona nchi imeingia machafuko haitawaliki tena ndio tumaini lao.kila siku wanafanya ujinga tu.
Good riddanceJitenge tu. Watu weusi wana mambo meusi sana.
Mimi nilijitenga ki fikra. Sipo nao kabisa.
Mbona sababu ya umasikini wao umeishaitaja paragraph ya tatu hapo juu!Hivi watu weusi dunia kote tuna matatizo nini?
Inashangaza taifa la Haiti lililo huru kwa zaidi ya miaka 200 iliyopita toka miaka ya 1700s huko linazidiwa maendeleo na South Korea iliyo huru baada ya vita vya pili vya dunia miaka ya 1948 na iliyo ingia vita vya wenyewe kwa zaidi ya miaka mitatu.
Haiti ni moja ya nchi masikini sana duniani iliyojaa ujinga, uchawi na uhalifu uliopindukia.
Lakini South Korea ni miongoni mwa nchi zilizo endelea duniani licha ya kuchelewa kuwa huru ukilinganisha na Haiti.
Haiti lilikuwa taifa la kwanza la watu weusi kupata uhuru duniani lakini hali yake inasikitisha sana.
Maisha ya wa HaitiView attachment 2925906View attachment 2925907View attachment 2925908View attachment 2925910
Uchumi wa Haiti
GDP (nominal) $8 Bln
GDP (PPP) $19 Bln
GDP per Capita(nominal) $700
GDP per Capita(PPP )$1,700
GDP rank
145th (nominal)
143rd (PPP)
GDP per capita rank
172nd (nominal)
174th (PPP)
Maisha ya wa Korea kusini
View attachment 2925924View attachment 2925925View attachment 2925926View attachment 2925927View attachment 2925923
Uchumi wa South Korea
GDP(nominal)$1.7 trillion
GDP(PPP) $2.9 trillion
GDP per capita(nominal)$33,147
GDP per capita(PPP)$56,709
GDP rank
13th (nominal)
14th (PPP)
GDP per capita rank
31rd (nominal)
29th (PPP)
Hivi sisi tuna matatizo sehemu yoyote ile duniani hata tukiwa nje ya Afrika ? Maana huyo mwenzetu kapata uhuru toka miaka ya 1700s kazidiwa mbali kabisa na huyo South Korea wa baada ya vita vya pili vya dunia hapo juzi tu miaka ya 1948 pamoja ya kwamba alikuwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe tena miaka ya 1950-1953.
Wazungu wameweza kuleta maendeleo hata nje ya ulaya, wachina nao wameweza.
wazungu wametoka ulaya wamefanya maajabu Afrika kusini, Australia, Canada, Marekani, New Zealand n.k
Wachina wameweza kuibadili kabisa Singapore.
ila watu weusi Haiti anatuaibisha licha ya kupata uhuru zaidi ya miaka 200 iliyopita.
HIVI SISI TUNA MATATIZO GANI ?
Hili swala la Dollar aisee nahisi itafika mpaka elfu 5...sielewi kabisa yani wana mpango gani hawa jamaaVita vya Korea marekani alikua pamoja na Leo inayoitwa Korea kusini,akampa kila msaada aliouhitaji ili kuipiga bao kaskazini ya kijamaa ili ubepari uonekane Bora,Hilo tafu alilotoa kwa Korea kusini angetoa kwa nchi yoyote Africa ingefika mbali,Ila afrika haitakiwi kujikweza sababu ya rasilimali zake,maana watazikosa,wanatukandamiza kupitia madeni,na Sasa wamepandisha thamani ya Dola ili madeni yetu yakue tupige mark time
Hiyo stori ni ya uongo. Nabii wa Allah Nuh (Amani ya Allah iwe juu yake) hakufanya hayo. Haya ni matusi ambayo Mitume wa Allah wametukanwa na mashetani waovu. Allah awalipe wanayostahiki waliotunga matusi haya kwa Mitume wake.Hamu aliuona uchi wa babaye, lakini Nuhu akatoa laana kwa Kanaani mwanaye, halafu jamani huo si uonevu kabisa kwanini asiitoe Kwa Hamu mwenyewe.
Tunajibagua mwenyewe kwa kukosa akiliKuna vitu vinatulazimisha sisi kubaguliwa kabisa
Sahihi kabisaVita za watu weusi husababishwa na wao wenyewe .
Katika maisha mambo mengi mabaya huwa binadamu wanayachagua wenyewe
Afrika ni laana nduguyangu viongozi wa Africa wanaroho mbaya sana kwa wananchi wao.Watu humu mnatia shaka uwezo wenu wa akili.
Mnashangaa! Uchumi wa Korea kusini upo juu lakini Haiti upo chini?
Hamjadili sababu zipi zilizofanya Korea kusini kuendelea?
Hamuwazi nini kilipelekea Haiti kuanguka baada ya vita ya kukupinga ukoloni na kumlipa faida mfaransa kwa miongo kadhaa.
Badala yake mmedakia na kununua western white superiority ideology kwamba hamuwezi kujiongoza na ninyi ni subhuman?
Ngozi nyeusi ina laana kila sehemuHivi watu weusi dunia kote tuna matatizo nini?
Inashangaza taifa la Haiti lililo huru kwa zaidi ya miaka 200 iliyopita toka miaka ya 1700s huko linazidiwa maendeleo na South Korea iliyo huru baada ya vita vya pili vya dunia miaka ya 1948 na iliyo ingia vita vya wenyewe kwa zaidi ya miaka mitatu.
Haiti ni moja ya nchi masikini sana duniani iliyojaa ujinga, uchawi na uhalifu uliopindukia.
Lakini South Korea ni miongoni mwa nchi zilizo endelea duniani licha ya kuchelewa kuwa huru ukilinganisha na Haiti.
Haiti lilikuwa taifa la kwanza la watu weusi kupata uhuru duniani lakini hali yake inasikitisha sana.
Maisha ya wa HaitiView attachment 2925906View attachment 2925907View attachment 2925908View attachment 2925910
Uchumi wa Haiti
GDP (nominal) $8 Bln
GDP (PPP) $19 Bln
GDP per Capita(nominal) $700
GDP per Capita(PPP )$1,700
GDP rank
145th (nominal)
143rd (PPP)
GDP per capita rank
172nd (nominal)
174th (PPP)
Maisha ya wa Korea kusini
View attachment 2925924View attachment 2925925View attachment 2925926View attachment 2925927View attachment 2925923
Uchumi wa South Korea
GDP(nominal)$1.7 trillion
GDP(PPP) $2.9 trillion
GDP per capita(nominal)$33,147
GDP per capita(PPP)$56,709
GDP rank
13th (nominal)
14th (PPP)
GDP per capita rank
31rd (nominal)
29th (PPP)
Hivi sisi tuna matatizo sehemu yoyote ile duniani hata tukiwa nje ya Afrika ? Maana huyo mwenzetu kapata uhuru toka miaka ya 1700s kazidiwa mbali kabisa na huyo South Korea wa baada ya vita vya pili vya dunia hapo juzi tu miaka ya 1948 pamoja ya kwamba alikuwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe tena miaka ya 1950-1953.
Wazungu wameweza kuleta maendeleo hata nje ya ulaya, wachina nao wameweza.
wazungu wametoka ulaya wamefanya maajabu Afrika kusini, Australia, Canada, Marekani, New Zealand n.k
Wachina wameweza kuibadili kabisa Singapore.
ila watu weusi Haiti anatuaibisha licha ya kupata uhuru zaidi ya miaka 200 iliyopita.
HIVI SISI TUNA MATATIZO GANI ?