Hivi wauza mafuta / (petrol, dizeli) ni akina nani nchi hii?

Hapana,maana ya ndani ya kauli yangu ni atuwekee Bei ya mafuta duniani,gharama za miundo mbinu ya kuuza mafuta,yaani ikiwemo na mishahara ya wafanyakazi
Nakuelewa sana, lakini biashara ya mafuta inaenda ki "cartel" , hata ukianzisha huwezi kuuza chini ya inayoamuliwa..
 
Magufuli alifanya kazi gani babu!!!? Alikuta uchumi inakua kwa Kasi ipi yeye akaufanyaje!?..udikteta Koko Karne ya 21!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…