Hiyo ni uncertainty,wangap wapo kam wema lakin hawakuwah igiza utoton?
Kabsa tena ashindweusimnene maneno mabaya mtoto wa mwenzio,Sio vizuri
Acha kuishi kwa Mazoea na kukariri formula Mind you maisha hanayana formula tatizo letu wanadamu tumeumbiwa kinywa hata ufanyeje lazima tutasema tu ata ukikaa kimya tutasema...kwani hawa kina amberruti na wema walikua exposed tokea utotoni??..au uyo mtoto wanamchezesha X?..sijakuelewa ujue yan umefocus kwenye negative....Alafu baadae akija kuwa muigizaji mzuri wakija kusema alianza tokea utotoni wewe ndio utakuja kuwa wa kwanz kupiga nae picha....Habari zenu ndugu wana jf ni matumaini mko vyema !
Niende moja kwa moja kwenye mada ,Nimetokea kufuatilia clip za youtube za maigizo ya huyu mtoto Mai ni mtoto mdogo sana ambae hajajitambua lakini namna wanavyo mu expose kwenye social media sidhani kama ni sahihi sana naona ni kama kumnyima haki ya utoto wake ,mtoto hana budi kulelewa kama mtoto mpaka pale atakapo jitambua .
Huyu mtoto anakila dalili ya kuharibikiwa kimaadili muda si mrefu ,sitashangaa kama atakuja kuwa na tabia kama za akina wema hapo mbeleni.
Nawasilisha.
View attachment 1051555
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo kwa chai sijawahi ona.Unapoint mkuu........asipolele vema anaweza kuharibikiwa kama Emmanuelle wa Mark Angel comedy wa Nigeria alipata umaarufu akiwa dogo sana na inasemekana kalipata ujauzito chini ya miaka 15
We ndo unapenda chai,yule dogo alidhaminiwa yupo US now na ni mwaka huu iyo issue imetokea au mwishoni mwa mwaka jana....utakuwa umezoea chai za instagram
Kwa hiyo Emmanuela ni mjamzito mkuu!?Unapoint mkuu........asipolele vema anaweza kuharibikiwa kama Emmanuelle wa Mark Angel comedy wa Nigeria alipata umaarufu akiwa dogo sana na inasemekana kalipata ujauzito chini ya miaka 15
Me mwenyewe nimechoka! Kitoto cha 2010 kile,,, hiyo mimba sijui amebeba lini
Inasemekana alifanya abosheni.....cos kwa age yake ilikuwa kesiKwa hiyo Emmanuela ni mjamzito mkuu!?
Ila bado ni mdogo sana hana hata miaka kumi
Unapoint mkuu........asipolele vema anaweza kuharibikiwa kama Emmanuelle wa Mark Angel comedy wa Nigeria alipata umaarufu akiwa dogo sana na inasemekana kalipata ujauzito chini ya miaka 15