Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Bado tu unaendelea kubisha!!?Comedian Emmanuella's alleged pregnancy | XclusiveAfrica.com
https://xclusiveafrica.com › com...
yule dj arch Jr saivi ni producer pia. ana miaka 6 saiviMark angel amewatengeneza emmanuela na success sasa hivi anaingiza hela kupitia YouTube
Dj arch kamtengeneza mwanae anaitwa dj arch junior toka ana miaka miwili anachezea deck Kama mtu mzima akiwa na miaka miaka 3 alishinda south Africa got talent na akaweka rekodi ya dunia ya kuwa dj mdogo zaidi duniani
Sasa kwanini zumo asimtumie mwanae?
Mtoto kuwa na maadili au kutokuwa na maadili ni majaaliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Comment yangu inahusiana nini na hicho ulichoandika!?Mtoto ambae hajabalehe anaweza kushika mimba?? she is 9 yrs.
Sifa mojawapo ya wachawi ni kutamani wengine wapatwe na mabaya ili baadaye waseme "tulijua tu"....Habari zenu ndugu wana jf ni matumaini mko vyema !
Niende moja kwa moja kwenye mada ,Nimetokea kufuatilia clip za youtube za maigizo ya huyu mtoto Mai ni mtoto mdogo sana ambae hajajitambua lakini namna wanavyo mu expose kwenye social media sidhani kama ni sahihi sana naona ni kama kumnyima haki ya utoto wake ,mtoto hana budi kulelewa kama mtoto mpaka pale atakapo jitambua .
Huyu mtoto anakila dalili ya kuharibikiwa kimaadili muda si mrefu ,sitashangaa kama atakuja kuwa na tabia kama za akina wema hapo mbeleni.
Nawasilisha.
View attachment 1051555
Sent using Jamii Forums mobile app
Duniani kote kuna waigizaji wakubwa na watoto, sasa sijui nafasi ya mtoto unataka aigize bibi?Wakati mwingine tujaribu kuzungumza ukweli na kuweka unafiki pembeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali ambalo huwa najiuliza hivi mtoto kama huyu anakuwa na nini hasa cha kumvutia mtu!
Lulu ana tatizo gani!
Kweli kabisa; mtu anatoa mawazo yake akifikiria effecs za baadaye za huyu mtoto kinda, eti usimnenee mabaya mtoto wa mwenzio. Nonsense!Wakati mwingine tujaribu kuzungumza ukweli na kuweka unafiki pembeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Poa!Hayo ni maneno mazuri kwa mwenye maarifa ya kitaka kujenga...
Na mtoto wa mwenzio ni mwanao hivyo inapoonekana dalili mbaya ya uharibifu wa kimaadili kwa mtoto muungwana lazima atasema ili mzazi/mlezi achukue hatua, neno baya huenda lingekuwa "Wacha aharibikiwe..!!"
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaaaaahaaaMtoto mdogo anapelekeshwa kama kiberenge yani kwa kifupi wanakategemea hako katoto ndiyo kanalisha familia
Sent using Jamii Forums mobile app