Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Acha ushamba jombaaa, shtuka dizain unajichoresha tu.Wakati mwingine tujaribu kuzungumza ukweli na kuweka unafiki pembeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ushamba jombaaa, shtuka dizain unajichoresha tu.Wakati mwingine tujaribu kuzungumza ukweli na kuweka unafiki pembeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Emmanuella Samuel is a Nigerian kid Comedian who was discovered by Mark Angel Comedy. She was born on 22nd July, 2010 in Port Harcourt, River State, Nigeria. She is currently 9 years.Unapoint mkuu........asipolele vema anaweza kuharibikiwa kama Emmanuelle wa Mark Angel comedy wa Nigeria alipata umaarufu akiwa dogo sana na inasemekana kalipata ujauzito chini ya miaka 15
Achana na uyo mkali,,,kumuenzi imebid akae kwenye avatar tu mkuuMkuu avatar yako ni ya mkongwe Eric Dane ak.a admiral Chandler mbabe wa Marine warship, Uss Nathan
Sent using Jamii Forums mobile app
Emmanuella Samuel is a Nigerian kid Comedian who was discovered by Mark Angel Comedy. She was born on 22nd July, 2010 in Port Harcourt, River State, Nigeria. She is currently 9 years.
Shame on you for accusing such a thing to a little angel.
Sawa lesbianAcha ushamba jombaaa, shtuka dizain unajichoresha tu.
Kaka hiyo miaka alifikisha lini huyo EmmanuelaUnapoint mkuu........asipolele vema anaweza kuharibikiwa kama Emmanuelle wa Mark Angel comedy wa Nigeria alipata umaarufu akiwa dogo sana na inasemekana kalipata ujauzito chini ya miaka 15
Mkuu si ameandika "chini ya miaka 15" !?
Hayo ni maneno mazuri kwa mwenye maarifa ya kitaka kujenga...kusema "ana kila dalili za kuharibikiwa kimaadili muda si mrefu" hayo ni maneno mazuri?!?!?! imagine mtoto wako anatamkiwa maneno kama hayo
Ya nini ufiche kipaji cha mtoto? mleta mada angalia familia yako za wenyewe waachie wenyewe
Wivu ni kitu kibaya sana..husda haifai kabisa watu wanashindwa kuelewa kuwa kuna maisha ya ukwel na maisha ya kwenye kazi..usishangae huyo mtt kwenye maisha yake ya ukweli analelewa kmaadili kuliko wew unavyofikiria
Ha!!!kale katoto kalipata ujauzito??duh noma sanaUnapoint mkuu........asipolele vema anaweza kuharibikiwa kama Emmanuelle wa Mark Angel comedy wa Nigeria alipata umaarufu akiwa dogo sana na inasemekana kalipata ujauzito chini ya miaka 15
Habari zenu ndugu wana jf ni matumaini mko vyema !
Niende moja kwa moja kwenye mada ,Nimetokea kufuatilia clip za youtube za maigizo ya huyu mtoto Mai ni mtoto mdogo sana ambae hajajitambua lakini namna wanavyo mu expose kwenye social media sidhani kama ni sahihi sana naona ni kama kumnyima haki ya utoto wake ,mtoto hana budi kulelewa kama mtoto mpaka pale atakapo jitambua .
Huyu mtoto anakila dalili ya kuharibikiwa kimaadili muda si mrefu ,sitashangaa kama atakuja kuwa na tabia kama za akina wema hapo mbeleni.
Nawasilisha.
View attachment 1051555
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe nawe bado unahitaji malezi bora kama huyo huyo Mai...Acha kuishi kwa Mazoea na kukariri formula Mind you maisha hanayana formula tatizo letu wanadamu tumeumbiwa kinywa hata ufanyeje lazima tutasema tu ata ukikaa kimya tutasema...kwani hawa kina amberruti na wema walikua exposed tokea utotoni??..au uyo mtoto wanamchezesha X?..sijakuelewa ujue yan umefocus kwenye negative....Alafu baadae akija kuwa muigizaji mzuri wakija kusema alianza tokea utotoni wewe ndio utakuja kuwa wa kwanz kupiga nae picha....
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa emmanuela amefikisha lini miaka 15Unapoint mkuu........asipolele vema anaweza kuharibikiwa kama Emmanuelle wa Mark Angel comedy wa Nigeria alipata umaarufu akiwa dogo sana na inasemekana kalipata ujauzito chini ya miaka 15
Is not an insult, yes i am.
Mtoto ambae hajabalehe anaweza kushika mimba?? she is 9 yrs.Mkuu si ameandika "chini ya miaka 15" !?