Hivi wazungu kuzaa mtoto mweusi kama hii picha nn kinatokea??

Hivi wazungu kuzaa mtoto mweusi kama hii picha nn kinatokea??

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Omba isikutokeee sikia kwa watu
 

Attachments

  • FB_IMG_1740545910832.jpg
    FB_IMG_1740545910832.jpg
    23.6 KB · Views: 1
Wachaga wengi wanatunza watoto WA baba zao Yale mambo ya kupeleka wake moshi loh...wakihisi mimba WANAOMUITA mtoto Aishi nae kwa mda gafla unashangaa mate YANATOKA kama udongo WA Mwamposa

Akizaliwa amefananaa na babuu
 
Omba isikutokeee sikia kwa watu
Yanitokee hayà lazima nkatoe.fungu la kumi la maumivu na sadaka ya kujimaliza akitoboa mwezi wangu huyo
 
Labda rangi nyeusi ni ulemavu mbona sisi blacks tunazaa weupe tunawabatiza albino tusiulizane inakuwaje weusi tupu kuzaa mtoto mweupe?
 
Watoto wa kike wa kizungu wanavyopenda blackmandingo ulijua haitawezekana kupatikana huyo mtoto
 
Back
Top Bottom