Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Dume la mbegu, rijali matata.....Kumbe wewe ni lidume ..
Mimi nilijuaga ni mdala..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dume la mbegu, rijali matata.....Kumbe wewe ni lidume ..
Mimi nilijuaga ni mdala..
Kabisa unaweka buti mlangoni, nguo kabatini tunalala..... Mwamba anatuangusha wanaume wenzie kwa huu uoga.Na tunalala fresh kabisa bila hofu yoyote.
😂 bora iende tu kuliko yangekukuta mengine ungepoteza kikubwa zaidi ya ipod.Mara nyingi sana. First time nipo Chuo, Demu akanidanganya yupo single, nikaona buti za kiume, akasema za mdogo wake.
Nikala mzigo nikatoka kufata vocha, Akili ndio ikarudi. Nilisepa mazima nikaacha iPod touch yangu 64GB inaniuma hadi kesho.
Vipi nije leo?Mada za weekend hadi raha yani
Na wewe ujasiri wa kutoenda umeupata wapi?Maana hakuna mwanamke anaye kaa gheto halafu yuko single ...hapa tusidanganyane.
Alooooo! Ila demu ali think fast kumwita huyo rafiki yake.Nishaenda sana kwa dem machimboni huko ila toka nilihadithiwa na rafiki’angu yaliyo mfika sina hamu ya kwenda kwa dem!
Rafiki’angu alienda kwa dem kumbe dem ana mshikaji wake mbaya zaidi hajampanga huyo jamaa’ake asije ye kapiga kimya tu.
Rafiki’angu kaenda getto kwa dem kajiachia mida ya saa 5 usiku anasikia jamaa nje anaita Ashura ashura nifungulie mlango wa mbele. Duh rafiki’angu akavaa faster huyo uvunguni mwa kitanda afu kimya mbaya!
Dem kaenda kamuamsha rafiki’ake chumba kingine akaja kulala kitandani ndipo dem kaenda kumfungulia jamaa’ake.
Mshikaji kufunua pazia kuna mtu dem akasema kwao kuna wageni kaomba alale humu, jamaa akageuza kurudi ajuako.
Rafiki’angu akaambiwa toka uvunguni huyu fala kaondondoka jamaa’angu ile kutoka aliomba afunguliwe mlango nae aondoke.
Dem kambembeleza we baki huyo hatorudi ila rafiki’aki akasema hata nikibaki ham sina ona athuman kichwa wazi kesha lala kuamka sio rahisi.
ikabidi dem amfungulie mlango huku amenuna rafiki’angu akasepa. Ndo akaja kijiweni kutuhadithia ilivyokuwa na mie nikasema kuanzia hiyo siku sitaki hata iweje!
Ungeirudia mali yakoMara nyingi sana. First time nipo Chuo, Demu akanidanganya yupo single, nikaona buti za kiume, akasema za mdogo wake.
Nikala mzigo nikatoka kufata vocha, Akili ndio ikarudi. Nilisepa mazima nikaacha iPod touch yangu 64GB inaniuma hadi kesho.
Kaja mwenzio tayar,ilibid utoe taarifa toka juzi,,kaa kwenye folen, next weekVipi nije leo?
UtavunaMara nyingi sana. First time nipo Chuo, Demu akanidanganya yupo single, nikaona buti za kiume, akasema za mdogo wake.
Nikala mzigo nikatoka kufata vocha, Akili ndio ikarudi. Nilisepa mazima nikaacha iPod touch yangu 64GB inaniuma hadi kesho.
Naomba unicheki PM kuna jambo nataka kukuuliza mkuu.Mara nyingi hua najuaga tu mtaa anaoishi demu ila sio nyumba anayokaaa
Mbona unatushambulia.....NYIE KICHWANI NI MADEMU TUH!! KUJENGA AAAH
Ivi we Jamaa shida ni nini ??Usiogope.
Hata Yesu alisema tusiogope kubomolewa marinda.