DIVISHENI FOO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,440
- 3,142
Shida ya nini?Ivi we Jamaa shida ni nini ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ya nini?Ivi we Jamaa shida ni nini ??
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kazi yangu ni kuandika notes siku nikipata demu sitawaangusha wakuu
Next week? Acha nibaki na ham zanguKaja mwenzio tayar,ilibid utoe taarifa toka juzi,,kaa kwenye folen, next week
Unajiskiaje mkubwa hivo kuandika uongo uongo😂😂😂 eti saa 3 Usiku muda wa yeye kuingia lindo" 😂😂😂 wewe ni bookkeeper tu hata wahasibu hawapo hivo😂Mimi nilienda kwa lengo la kumsalimia tu kama rafiki yangu. Waleti ilikuwa imejaa sana nikaona niweke pale mezani ili nikae vizuri. Yule mwanajeshi akaingia tamaa baada ya kuona kile kitita
Tukakaa weeee, saa 3 usiku muda wa yeye kwenda lindo ukafika. Nikaamka tutoke, ghafla akazima taa na kunirukia kifuani kama chui. Nikajikuta nasahau ushauri na tahadhari mnazotoaga
🤣🤣🤣🤣Unajiskiaje mkubwa hivo kuandika uongo uongo😂😂😂 eti saa 3 Usiku muda wa yeye kuingia lindo" 😂😂😂 wewe ni bookkeeper tu hata wahasibu hawapo hivo😂
Taarifa muhimuNext week? Acha nibaki na ham zangu
SihitajiTaarifa muhimu
ukisusa wenzio wala,kwendaSihitaji
ukisusa wenzio wala,kwendaSihitaji
Kama siliwi mimi hakuna shida acha wale tu.ukisusa wenzio wala,kwenda
Multiple IDsKumbe wewe ni lidume ..
Mimi nilijuaga ni mdala..
Angepigwa afeNishaenda sana kwa dem machimboni huko ila toka nilihadithiwa na rafiki’angu yaliyo mfika sina hamu ya kwenda kwa dem!
Rafiki’angu alienda kwa dem kumbe dem ana mshikaji wake mbaya zaidi hajampanga huyo jamaa’ake asije ye kapiga kimya tu.
Rafiki’angu kaenda getto kwa dem kajiachia mida ya saa 5 usiku anasikia jamaa nje anaita Ashura ashura nifungulie mlango wa mbele. Duh rafiki’angu akavaa faster huyo uvunguni mwa kitanda afu kimya mbaya!
Dem kaenda kamuamsha rafiki’ake chumba kingine akaja kulala kitandani ndipo dem kaenda kumfungulia jamaa’ake.
Mshikaji kufunua pazia kuna mtu dem akasema kwao kuna wageni kaomba alale humu, jamaa akageuza kurudi ajuako.
Rafiki’angu akaambiwa toka uvunguni huyu fala kaondondoka jamaa’angu ile kutoka aliomba afunguliwe mlango nae aondoke.
Dem kambembeleza we baki huyo hatorudi ila rafiki’aki akasema hata nikibaki ham sina ona athuman kichwa wazi kesha lala kuamka sio rahisi.
ikabidi dem amfungulie mlango huku amenuna rafiki’angu akasepa. Ndo akaja kijiweni kutuhadithia ilivyokuwa na mie nikasema kuanzia hiyo siku sitaki hata iweje!
Jichanganye ukutane na Pdidykuanzia hiyo siku sitaki hata iweje!
Mdala kingon eeKumbe wewe ni lidume ..
Mimi nilijuaga ni mdala..
Pdidy kwenye moja na mbiliAngepigwa afe
Jitahid uje geto,wasela wangu wote wanaonilipia kodi wanasafiriKama siliwi mimi hakuna shida acha wale tu.