Hivi wenzangu ujasiri wa kwenda gheto kwa mwanamke mnauotoa wapi?

Hivi wenzangu ujasiri wa kwenda gheto kwa mwanamke mnauotoa wapi?

Nadhani mimi ndio jasiri namba moja nilienda kumla beki tatu anapo fanya kazi chumbani kwake nilimla uaiku kucha ila inahitaji ujasili wa hali ya juu
 
Akili zingine shida tupu, lindo halina udhuru? Halafu aliyekuwa anaenda lindo ni yeye sio mimi, kwa hiyo it is not my business to know the accuracy of the information
😂😂Acha uongo hovyoooo. Eti udhuru unafikiri lindo nikama zamu ya manesi. Unaenda tu utakuta mtu anakusubiri umpokee
 
Back
Top Bottom