Hivi wenzangu ujasiri wa kwenda gheto kwa mwanamke mnauotoa wapi?

Mara nyingi sana. First time nipo Chuo, Demu akanidanganya yupo single, nikaona buti za kiume, akasema za mdogo wake.

Nikala mzigo nikatoka kufata vocha, Akili ndio ikarudi. Nilisepa mazima nikaacha iPod touch yangu 64GB inaniuma hadi kesho.
😂 bora iende tu kuliko yangekukuta mengine ungepoteza kikubwa zaidi ya ipod.
 
Alooooo! Ila demu ali think fast kumwita huyo rafiki yake.
Jamaa angestick na huyo demu maana ni smart
 
Mimi nilienda kwa lengo la kumsalimia tu kama rafiki yangu. Waleti ilikuwa imejaa sana nikaona niweke pale mezani ili nikae vizuri. Yule mwanajeshi akaingia tamaa baada ya kuona kile kitita

Tukakaa weeee, saa 3 usiku muda wa yeye kwenda lindo ukafika. Nikaamka tutoke, ghafla akazima taa na kunirukia kifuani kama chui. Nikajikuta nasahau ushauri na tahadhari mnazotoaga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…