Hivi wenzetu mnaowapanga wanaume au wanawake huwa mnawezaje

Hivi wenzetu mnaowapanga wanaume au wanawake huwa mnawezaje

Hata mimi natamani kufahamu pia aisee 🥺 wanawezaje na wanakuwa na amani kabisa?
 
Mimi naona mnafanya mambo kua magumu.

Kama unajijua hapo ulipo ,Hauna Bikra, na uliyenaye sio alokutoa bikra



Wewe Jua ni Cha wotee tuuu ni suala la muda !!.
Mimi naona mnafanya mambo kua magumu.

Kama unajijua hapo ulipo ,Hauna Bikra, na uliyenaye sio alokutoa bikra



Wewe Jua ni Cha wotee tuuu ni suala la muda !!.
We uliye naye Kwa sasa ni bikra mkuu?
 
We uliye naye Kwa sasa ni bikra mkuu?
Nikimtoa Bikra, baadae tukaachane, tukaonana Tena, Nikamuoa .


Vipi wee uliyenaye ndio alokutoa bikra ??.


Hapa Point ni Moja, Kujifanya fanya ndio muache !!.

Bila Ivo, nithibitishie kua umeolewa na Bikra yako !!.
 
Nikimtoa Bikra, baadae tukaachane, tukaonana Tena, Nikamuoa .


Vipi wee uliyenaye ndio alokutoa bikra ??.


Hapa Point ni Moja, Kujifanya fanya ndio muache !!.

Bila Ivo, nithibitishie kua umeolewa na Bikra yako !!.
Niliye naye sijamtoa bikra.
 
Mimi naona mnafanya mambo kua magumu.

Kama unajijua hapo ulipo ,Hauna Bikra, na uliyenaye sio alokutoa bikra



Wewe Jua ni Cha wotee tuuu ni suala la muda !!.
Hakuna bwana
Kuwapanga na kutokuwa bikra havina uhusiano kabisaa
 
Ni gharama.

Unatakiwa uwe na constant flow of money !!.



Mimi nawapiga piga sababu, Nikiingia Job, umezubaaa nimekupiga 100k , umekuja na mkeo Sijui anatokea uchafu , nakupa vitisho weeeee ili wee na Mkeo muogope kuwa wagumba hapo nawapiga helaa,. Nawapa dawa Bora nashikashika tu uongo nakweli.


Nakupigia helaaa.


Hiyo helaa ndio naenda kununua Viatu..au Kwa ajili ya mchepuko 🤣🤣🤣

Ka mshahara kako palepale, ka bizinez Kako palepale 🤣🤣
Dah!... doctor mtata ....😂😂
 
Back
Top Bottom