Hivi wenzetu mnaowapanga wanaume au wanawake huwa mnawezaje

Hivi wenzetu mnaowapanga wanaume au wanawake huwa mnawezaje

Mambo ya mchezo wa mapenzi sio ya kila mtu japo wengi wanaamini wameumbiwa.

Ukibutua mpira haimaanishi ndio unajua kuusakata kama wakina mayele.ndivo yalivyo mapenzi.

Unaweza ukakuta mtu kapanga wanawake hata kumi au wanaume Saba na hawajuani na kila mtu anajijua yupo peke yake lkn ww ndugu yangu mtu mmoja tu kumpanga Huawei.


Cha msingi tambua sio kila kitu ni kwa ajiri ya kila mtu. Wengine mkibaki kuwa watazamaji inatosha
 
Ukimwona mwanamke amepanga wanaume zaidi ya wawili jua huyo Ni Malaya aliyetukuka.
 
Mku waache tu wasome.

Unajua ki anatomically, Kuna kitu tunaita Corpus Callosum , hi ni Bundle ya Nerve Fibers yaan nikama katyubu hivi kalikobeba ma nerves mengi sana karibia Milion 300.

Hii Corpus Callosum ni kama Daraja, tinaliita pia Neural Bridge Kazi yake ni kupitisha Mawasiliano ya Ubongo Upande wa Kushoto na kulia yaan left and right cerebral hemispheres !!.


Sasa Kwa Wanawake, hiii Daraja ni Pana alafu Refu , Kwa hiyo kufanya Wanawake wawe na uwezo mkubwa sana yaan informations zote za sensory , motor na cognitive , Kwa wanawake zinafanyika Kwa haraka sana.

Ndio MAANA Wanawake Huwa wanauwezo wa kujua hatua ya pili inayofuata na wenye kumbukumbu.

Sasa kilichotokea nn?.

Pamoja na kwamba wanahuo Uwezo, Sisi wanaume tulipewa Uwezo wa Kuwashinda !! 🤣🤣


Mwanamke unaweza kumwambia, aiseee Mimi Carlos Nina Wanawake wengi sanaaaaa na siwez kuwaacha,. Na mpaka ukanionyesha pichaaa zao ,akawaona.

Lakn huyohuyo mwanamke , ukimwambia, nmekuelewaa, naomba unipe Mzigo, naye atakupa tu bila hiyanaa !!.



Sio kwamba hawana akili, hapana, Wana akili sana na Uwezo mkubwa sana, ila Nature inawataka wawe hivo mbele ya Mwanaume.
Duuh
 
Back
Top Bottom