Afrocentric view
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,374
- 2,280
UongooTayariiiii gemuuu ovaaaa, naye nimempiga viwili 🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UongooTayariiiii gemuuu ovaaaa, naye nimempiga viwili 🤣🤣🤣🤣
Mbele kabisa kushoto dirishani[emoji144]
Endelea kubishaaaUongoo
Bila uthibitisho ni story tu kama story zingine za vijiwenEndelea kubishaaa
Aahh sawaBila uthibitisho ni story tu kama story zingine za vijiwen
DuuhMku waache tu wasome.
Unajua ki anatomically, Kuna kitu tunaita Corpus Callosum , hi ni Bundle ya Nerve Fibers yaan nikama katyubu hivi kalikobeba ma nerves mengi sana karibia Milion 300.
Hii Corpus Callosum ni kama Daraja, tinaliita pia Neural Bridge Kazi yake ni kupitisha Mawasiliano ya Ubongo Upande wa Kushoto na kulia yaan left and right cerebral hemispheres !!.
Sasa Kwa Wanawake, hiii Daraja ni Pana alafu Refu , Kwa hiyo kufanya Wanawake wawe na uwezo mkubwa sana yaan informations zote za sensory , motor na cognitive , Kwa wanawake zinafanyika Kwa haraka sana.
Ndio MAANA Wanawake Huwa wanauwezo wa kujua hatua ya pili inayofuata na wenye kumbukumbu.
Sasa kilichotokea nn?.
Pamoja na kwamba wanahuo Uwezo, Sisi wanaume tulipewa Uwezo wa Kuwashinda !! 🤣🤣
Mwanamke unaweza kumwambia, aiseee Mimi Carlos Nina Wanawake wengi sanaaaaa na siwez kuwaacha,. Na mpaka ukanionyesha pichaaa zao ,akawaona.
Lakn huyohuyo mwanamke , ukimwambia, nmekuelewaa, naomba unipe Mzigo, naye atakupa tu bila hiyanaa !!.
Sio kwamba hawana akili, hapana, Wana akili sana na Uwezo mkubwa sana, ila Nature inawataka wawe hivo mbele ya Mwanaume.