Hivi wenzetu mnaowapanga wanaume au wanawake huwa mnawezaje

Hata mimi natamani kufahamu pia aisee πŸ₯Ί wanawezaje na wanakuwa na amani kabisa?
 
Mimi naona mnafanya mambo kua magumu.

Kama unajijua hapo ulipo ,Hauna Bikra, na uliyenaye sio alokutoa bikra



Wewe Jua ni Cha wotee tuuu ni suala la muda !!.
Mimi naona mnafanya mambo kua magumu.

Kama unajijua hapo ulipo ,Hauna Bikra, na uliyenaye sio alokutoa bikra



Wewe Jua ni Cha wotee tuuu ni suala la muda !!.
We uliye naye Kwa sasa ni bikra mkuu?
 
We uliye naye Kwa sasa ni bikra mkuu?
Nikimtoa Bikra, baadae tukaachane, tukaonana Tena, Nikamuoa .


Vipi wee uliyenaye ndio alokutoa bikra ??.


Hapa Point ni Moja, Kujifanya fanya ndio muache !!.

Bila Ivo, nithibitishie kua umeolewa na Bikra yako !!.
 
Nikimtoa Bikra, baadae tukaachane, tukaonana Tena, Nikamuoa .


Vipi wee uliyenaye ndio alokutoa bikra ??.


Hapa Point ni Moja, Kujifanya fanya ndio muache !!.

Bila Ivo, nithibitishie kua umeolewa na Bikra yako !!.
Niliye naye sijamtoa bikra.
 
Mimi naona mnafanya mambo kua magumu.

Kama unajijua hapo ulipo ,Hauna Bikra, na uliyenaye sio alokutoa bikra



Wewe Jua ni Cha wotee tuuu ni suala la muda !!.
Hakuna bwana
Kuwapanga na kutokuwa bikra havina uhusiano kabisaa
 
Dah!... doctor mtata ....πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…