Hivi wewe mwanamke (modern woman) unapata wapi nguvu ya kumuita mwanamke mwenzako malaya au hajatulia

The Bitter Truth.

Truth Hurts.

Umepiga kwenye Mshono.

Umegongelea msumali kichwani.
 
Nilitaka asubuhi tu ukiamka ukutane na bonge la uzi la malavidavi ila nimeghairi we ndo wa kunisagia kunguni namna hii kweli??? Nimelia sana ndo maana nimeota nakabwa kumbe mbaya wangu ni wewe
Mimi na wewe zoezi letu liko palepale litupie uzi hilo la malavidavi huyu Xi Jinping achana naye asituharibie mipango yetu
 
Wanawake hatupendani kweli hii mada ikiwa ni reference ya kauli hiyoπŸ€ͺ
Si mnaitana malaya wakati anayemwita mwenzake malaya naye ni mulemule tu

Usitoe unyasi kwenye jicho la mwenzako na wakati wewe una boriti kwenye jicho, Mathayo ngapi hiyo bibie?
 
Halafu kuna watu wanaoa. πŸ˜‚
Watu wanaoa malaya baadaye wanalalamika ndoa ngumu kumbe wameforce kuwafanya makahaba wake

Don't make a hoe a housewife it never ends well
 
Sema yote mkuu chunga sana usiishiwe nguvu za kiume nu bora ukose ela ila ngoma isimame kama umeme, wanawake wote kwa research yangu niliyoifanya wanapenda moto

Mabinti.wa 2000 ...Need moto and more money
Wadada wa 90..need Moto na ndoa kwa kuforce yaani wanafosi mpaka kero nigger kama unataka utoboe kwenye acha kudeal na specie's ni hatar most of them ni masingle mother, lose marinda,big breast cancer..........

Mashangazi....... need more ad more moto wa SGR na muda wako tu hapa ndo pakuwekeza kama unataka kibunda chako ujenge hata chanika saiv mashangazi ndo habari ya mjini plus vitoto vya 2000......

Note kuwa makini AIDS kill people
 
Si mnaitana malaya wakati anayemwita mwenzake malaya naye ni mulemule tu

Usitoe unyasi kwenye jicho la mwenzako na wakati wewe una boriti kwenye jicho, Mathayo ngapi hiyo bibie?
Kiufupi kabisa hakuna mtu anaemuita mwenzie malaya, bali ni asili tu ukipita uume tayari huyo ni malaya ndio maana aliyebarikiwa ni mmoja tu nae ni mama yake yesu tuliobaki.......malayaaa
 
Ukweli mtupu, nashangaa mwanamke aliyetolewa bikra akawaita wenzie malaya wakati yeye pia ni malaya.
 
Wanawake wamepata mtetezi wa haki zao ila ajabu ni Mwanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…