Hivi Yanga huwa mnawapa nini hawa vijana mara tu wanapojiunga nanyi?

Hivi Yanga huwa mnawapa nini hawa vijana mara tu wanapojiunga nanyi?

DullyJr

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
13,983
Reaction score
11,857
Huyu mwehu anajua kama ujumbe huu anawafikishia watu wengi sana nchini? Asilimia kubwa ikiwa ni hawa mashabiki wa Yanga wanaopambania kuingia bure uwanjani kwa kukosa elfu tatu.

Wengine ni majeruhi hadi leo na wengine wamepoteza uhai kwa ajili ya Yanga yao halafu yeye anatoka mbele waziwazi na kutoa hizi kebehi, na utakuta mashabiki maandazi wanafurahia kauli hizi wakati yeye akitoka hapo Mbagala anapofanya shughuli za kumuingizia kipato cha kila siku anatakiwa arukie daladala ili afike Chamazi kwenda kupumzika na familia yake!

Nahisi kuna siri nzito imejificha hapa kati ya kuwa shabiki wa Yanga na kukosa akili timamu. Utamkuta mtu kazaliwa vizuri na wazazi wake na kapitia hatua zote za ukuaji vema kabisa, ila anapoanza tu kuingia hapo Yanga akili zinabadilika zinakuwa za ovyoovyo.

Ehhh Mungu wasamehe hawa watu, na uwakomboe kama ulivyomkomboa Feisal Salum maana akili zake zimekaa sawa sasa.

 
Haaahahaa hii nchi bwanaa unaweza ukaamka kesho ukakuta Oruma kapewa Benzi jipyaa kwa mkopo na mtu asiefahamika ili awekere tuu na ili mpambano uendelee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliiii
 
Chambuzi la mchele
images (2).jpeg
 
Dj walette walettte. [emoji1787][emoji1787]

Kesho ndo ile jumamosi Ntani.
Mtaniiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usiku wa Deni haukawii kukuchaaaaa.
Hebu tuwe wapoleeeeee.

Watu wamenipaniaaaa Yanga akirudi na Kombe.
Sijui ntaweka wapi uso wangu.

Maana mtaani ni motooo, mtandaoni ndo balaaa.
USMA wafanye kuniokoa ktk hilii.
 
Hio video umeiona yote au ni u mbumbumbu umekujaa? alf ujinga wa mashabiki wa Yanga unakugharimu nini ?
Leo hii mazuzu ya utopolo mnataka full video?nyie si ndio wazee wa klipu,pumbav ,tunagharamika maana taifa linaangamia vijana mnaisha

HAMNA AKILI KENGE NYIE

mtu kahongwa simu akili zote zimepotea,kisa MACHO MATATU NA BABYCARE[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom