Hivi Yanga huwa mnawapa nini hawa vijana mara tu wanapojiunga nanyi?

Hivi Yanga huwa mnawapa nini hawa vijana mara tu wanapojiunga nanyi?

Mtaniiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usiku wa Deni haukawii kukuchaaaaa.
Hebu tuwe wapoleeeeee.
Hahahaaa! Kabisa kabisa Mtani tuwage wapole tu kwa kweeli.
Watu wamenipaniaaaa Yanga akirudi na Kombe.
Sijui ntaweka wapi uso wangu.
Uso wako utauweka popote tu. 🤣🤣🤣
Maana mtaani ni motooo, mtandaoni ndo balaaa.
USMA wafanye kuniokoa ktk hilii.
Hahahaa! Tusubiri tuone Mtani. Japo kama nakuona vile utakavyohaha. 😂😂
 
Huyu mwehu anajua kama ujumbe huu anawafikishia watu wengi sana nchini? Asilimia kubwa ikiwa ni hawa mashabiki wa Yanga wanaopambania kuingia bure uwanjani kwa kukosa elfu tatu.

Wengine ni majeruhi hadi leo na wengine wamepoteza uhai kwa ajili ya Yanga yao halafu yeye anatoka mbele waziwazi na kutoa hizi kebehi, na utakuta mashabiki maandazi wanafurahia kauli hizi wakati yeye akitoka hapo Mbagala anapofanya shughuli za kumuingizia kipato cha kila siku anatakiwa arukie daladala ili afike Chamazi kwenda kupumzika na familia yake!

Nahisi kuna siri nzito imejificha hapa kati ya kuwa shabiki wa Yanga na kukosa akili timamu. Utamkuta mtu kazaliwa vizuri na wazazi wake na kapitia hatua zote za ukuaji vema kabisa, ila anapoanza tu kuingia hapo Yanga akili zinabadilika zinakuwa za ovyoovyo.

Ehhh Mungu wasamehe hawa watu, na uwakomboe kama ulivyomkomboa Feisal Salum maana akili zake zimekaa sawa sasa.
Huwezi kuzitofautisha Yanga , Simba na CCM
 
Masikini wacheni wivu.mutu.kuwa.na.maendereo.munawazia.kufirwa.inaonekana.vijana.wengi.munapenda.huo.muchezo.sio.muzuri.bebeni.tofari.kama.akiri.huna.na.konekshen.hamuna.
 
Ndiyo maana na ule uchumba wake ulifia njiani,inawezekana binti alistuka akakimbia [emoji23][emoji23][emoji23]
Binti alisanukaaa mapemaaa, yeye anajipinda kumpa maufundi mwenza, kumbe mwenzake ana copy anaenda kutoa kwa boss mdogo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akatoa ndukiiiiii
 
Ondoa shaka kabisa andaa tu na kinywaji chako,hao wanarudi na medali tu [emoji3][emoji3]
Kwa kweli USMA wafanye kunifurahisha ktk hilii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahaaa! Kabisa kabisa Mtani tuwage wapole tu kwa kweeli.

Uso wako utauweka popote tu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hahahaa! Tusubiri tuone Mtani. Japo kama nakuona vile utakavyohaha. [emoji23][emoji23]
Mtaniiii nionee hurumaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
medals mtapataa, kombe mkosee.

Uko tayari uwe na furaha ya kubeba kombe, afu mie mtani wako nahaha kwa kuswampaaaa??

Hebu imagine? Ki ubinadamu yaan. Woiiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu nae ko kupewa Gari na kuvuliwa ubingwa ndo anajiona wa maana sanaa?? Wenzake wanatafuta Daladala na ubingwa wanao.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha

Unataka kusema huyu dogo ni mwanachama wenu?
 
Hii video ipo nusu kwa lengo la kumchafua mchizi.

Ni kama ile video ya Karia akiongea kuhusu ndege.

Hapo umekurupuka ndugu yangu,simple research ungefanya ungejua ukweli wote..
Rejea kauli ya Rage kuhusu hawa watu utapata hitimisho.
 
Hivi jina lake ni nani?

Mie shabiki wa yanga ila hawa wapuuzi huwa hata siwafuatilii
Privatusi shayo!! Ndo anajiita privadinho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] labda dinho ya kupumuliwa mgongoni.
 
HUwezi kuchangia bila kuchekacheka? Au unatekenyeka unataka kukunwa upele
HUNA AKILI,


SASA ALIYEKULAZIMISHA UWEKE MWIKO NANI?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

TULIA ,GUGUMIA TARATIBU PAMBANA NA HALI YAKO...

HUNA AKILI
 
Huyu mvaa miwani si ndio yule alie vuliwa ubingwa au[emoji848][emoji848]
Ndio huyu mkuu,na alitaka kuzuga watu kwa kuoa ndoa ya bosheni ila mwanamke alivyostuka kuwa mwamba hana ubingwa akamtosa
 
Binti alisanukaaa mapemaaa, yeye anajipinda kumpa maufundi mwenza, kumbe mwenzake ana copy anaenda kutoa kwa boss mdogo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akatoa ndukiiiiii
Aiseeeeeh
 
Back
Top Bottom