Mara paaaap tunaambiwa Yanga Wana michezo 40 bila kufungwa kwenye michezo ya ndani.
Tumegeuziwa kibao Tena tunaambiwa ni kwa NBC premier league wakati huko nyuma walijumuisha ASFC
Bahati kwao wametukuta watanzania hatujambo kudaka Mambo kwa ushabiki. Naomba mwenye takwimu aweke tujiridhishe.
Nawasilisha
Tumegeuziwa kibao Tena tunaambiwa ni kwa NBC premier league wakati huko nyuma walijumuisha ASFC
Bahati kwao wametukuta watanzania hatujambo kudaka Mambo kwa ushabiki. Naomba mwenye takwimu aweke tujiridhishe.
Nawasilisha