Hivi zile matatuu za Kenya wanaunda wenyewe?

Hivi zile matatuu za Kenya wanaunda wenyewe?

Kwa mwanabiashara yeyote lazima awekeze....... Ili mwenye matatu apate hela lazima atoe hela,,,,,tena kwa sana. Matatu ambazo hazina interior nzuri,exterior, rangi,graffiti, WiFi, mziki uliochujwa,tweeters,woofer,flat screen, zingine zina hata cctv cameras, zingine zina visimbusi / vingamuzi,mufflers,taa za rangi-rangi wakati wa usiku siti nzuri,zingine zina tablets ama screens ndogo kwa kila siti......the list is endless! Kama jinsi mdau mmoja alivyosema,zipo ambazo hazina manjonjo,nauli yake ipo chini saaaana, ila huchukua muda mrefu kujaa. Kipato kitakuwa kidogo kwa mwenye matatu. Kwa mfano Matatu iliyopambwa inaweza tengeneza trip 10, ya kawaida Labda nusu yake. Hii ndio MATATU CULTURE!
Kenya mko tofauti sana na sisi bongo. Kwani hiyo safari inachukua masaa mangapi hadi mtu awekeze yote hayo? Siku hizi watu wana smart phone na tablets. Anyway, umeshasema ni culture
 
Kiukweli nikilinganisha na daladala zetu hapa bongo nashindwa kuwaelewa wakenya. Zile matatuu zao ni mabasi fulani hivi yamekaa muundo wa kiajabu sana. Sio wa karne hizi bali ni karne ya 19. Nilikuwa kule wakati fulani nikayaona na kuyapanda. Mengine huoni mbele wala nyuma ukiwa umepanda. Halafu yana rangi za ajabu kama kinyonga. Na yanafanya safari zake ndani ya jiji la Nairobi

one more buddy
13895179_10209080994036348_7290677136359724980_n.jpg
 
hamna kitu hapooo.....>>>>> yamejaa kunguni hayo maboksi

A report has revealed Nairobi matatu routes with the highest prevalence of bedbug infestation that is now threatening to crumble the business.
Kangemi, Kawangware, Thika, Juja, Eastleigh, Jogoo, Rongai, Ngong, Kayole and routes along Mombasa road have been identified as the most affected.
According to conductors plying the routes, passengers unknowingly carry the pests and 'deposit' them in the matatus.
The bedbugs are also said to be transferred by city tenants relocating using public transport.
According to a report by the Standard, commuters shy away from boarding vehicles suspected to be infested by the bedbugs.
“These parasites are now threatening to cripple our business since many people fear to board public service vehicles,” said Chrispin Omollo, a conductor.
It is claimed that old matatus with sponge seats play host to most of the pests. Such matatus are usually preferred by a majority of city residents due to their relatively lower fares.
Following the infestation, most matatus now have stickers urging passengers to contact the respective SACCOs for fumigation services.
Matatu Welfare Association Chairman Dickson Mbugua has urged Nairobi residents to file complaints with bus companies whenever they notice bedbugs.
nairobinews.
Hahaha du!
 
Mkuu naomba uniambie kuhusu historia ya matatu na ilikuwaje mpk kenya ikawa vile

Kwakua kwa ufahamu wangu matatu ni zaid ya gari. Ni lifestyle fulani hivi iliyochanganya hip hop car enthusiasm(wanayapimp kama gar binafsi) Na ukenya flani hivi.

Umaweza kunipa historia ya hizi gar toka zimeanza na ilikuwaje zikakubalila kwenu. Katika hili hakuna ligi. Kenya thumbs up. East african brothers
Historia yake Ni refu, nitakupa link uisome
Edwin's Corner: THE QUEST FOR IDENTITY: MATATUS AND GRAFFITI IN KENYA

Kisha every society has its do and don't, its likes and dislikes. Watanzania kadhaa hawapendelei Matatu eti yana rangi nyingi, ni uharibifu wa pesa tu, Kelele bure nkd. Vile vile haya Madaladala ya dar nishayapanda na sitamani kuyapanda tena kwani nikama boksi tu lililo na viti, mziki hakuna, viti vyenyewe vimechakaa, Wi-Fi tu hakuna, TV ni ndoto nkd. Na ni kwa sababu mimi ni mkenya, Wewe u mtanzania, mtazamo wetu kwa vitu kadhaa watofautiana.
 
A report has revealed Nairobi matatu routes with the highest prevalence of bedbug infestation that is now threatening to crumble the business.
Kangemi, Kawangware, Thika, Juja, Eastleigh, Jogoo, Rongai, Ngong, Kayole and routes along Mombasa road have been identified as the most affected.

Mkuu hiyo si maneno yangu. Ni ya huko huko
Hivi kunguni bado wapo? so ni kweli kwamba wakenya na wasomali wanaongoza kwa uchafu.Nildhani ni story za mtaani.Kunguni kwenye usafiri wa umma?huwa hawakogi wanakurupuka usishangae hata chawa bado wapo huko kenya.
 
Hatujali hata kama nyinyi watanzania hampendi matatu zetu, we love them the way they are......with all their chaotic appearance and loudness....

1398457_622614017781972_1755736586_o.jpg


nawakucarter.jpg


mat-art.jpg


IMG_20150321_17404202.jpg


CZuM2SEW0AAWuXy.jpg


Nina swali moja ambalo mpaka leo sijapata jibu lake, kwa maana nilishawahi kupanda hayo Mabasi na humo ndani kuna mziki mkubwa ambapo huwezi wala kuongea na jirani yako hata kusoma tu gazeti huwezi lkn abiria wenyewe wanaona ni poa tu mimi kwangu nilikuwa naomba Mungu nifike kituo changu na kushuka nilishindwa kuelewa lkn swali langu ni kwamba hiyo investment wanayofanya inalipa kweli? Kwa maana wanaweka flat screens kila kiti kama kwenye ndege, huo muziki peke yake ni gharama kubwa sana sasa wanawezaje kurudisha fedha walizowekeza? Au wanauza drugs hawa wamiliki? kwa maana kwangu haingii akilini kuwekeza hela yote hiyo kwa abiria ambaye anashuka tu kituo kinachofwata, kama lingekuwa long safari labda hapo kidogo ningeelewa lkn kwa commuter busses kufanya investment yote hiyo kwangu ni ngumu kuelewa, Hilo kwangu ni fumbo kubwa!
 
Nina swali moja ambalo mpaka leo sijapata jibu lake, kwa maana nilishawahi kupanda hayo Mabasi na humo ndani kuna mziki mkubwa ambapo huwezi wala kuongea na jirani yako hata kusoma tu gazeti huwezi lkn abiria wenyewe wanaona ni poa tu mimi kwangu nilikuwa naomba Mungu nifike kituo changu na kushuka nilishindwa kuelewa lkn swali langu ni kwamba hiyo investment wanayofanya inalipa kweli? Kwa maana wanaweka flat screens kila kiti kama kwenye ndege, huo muziki peke yake ni gharama kubwa sana sasa wanawezaje kurudisha fedha walizowekeza? Au wanauza drugs hawa wamiliki? kwa maana kwangu haingii akilini kuwekeza hela yote hiyo kwa abiria ambaye anashuka tu kituo kinachofwata, kama lingekuwa long safari labda hapo kidogo ningeelewa lkn kwa commuter busses kufanya investment yote hiyo kwangu ni ngumu kuelewa, Hilo kwangu ni fumbo kubwa!


Being a free world where there's a willing buyer and a willing seller, hela atarudisha hivi.... Kutoka e.g. Githurai hadi mjini tuseme ni Kshs 30 matatu ya kawaida ambayo haina mvuto, WiFi, mziki wa nguvu,flat tv n.k. ,,,,,,, ambayo ina hivyo vitu vyote jua ya kuwa nauli ni Kshs 40 au 50. Moja ikiwa nauli ni 20/- nyingine ni 40/- au 30/-. Saa, zidisha na watu hamsini halafu per trips. Halafu ikumbukwe hizi matatu hujaa haraka kuliko zisizoongezewa manjonjo. Niambie, jamaa hatarudisha hela yake?
 
Kenya mko tofauti sana na sisi bongo. Kwani hiyo safari inachukua masaa mangapi hadi mtu awekeze yote hayo? Siku hizi watu wana smart phone na tablets. Anyway, umeshasema ni culture


Wakati mwingine inasaidia sehemu ama routes ambazo kuna foleni lakini sana sana ndani ya lisaa tu.
 
Halafu huo mziki huwezi hata kuongea na simu ndani ya matatu, jamaa miziki yao ni shida wanafungulia hadi mwisho na hakuna kupunguza sauti
 
Back
Top Bottom