Torra Siabba
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 243
- 287
Yanga walitoa saa 72 kwa bodi ya Ligi kuwapa ushindi kwenye dabi iliyoota mbawa, sasa nauliza muda bado haujafika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu kinauwa mafundi wasiojua kama mafundi umeme .We ulikuwapiWeka ushahidi
Nimerudia kusoma lakini sijaona kama post inaendana na mada husika.Hakuna kitu kinauwa mafundi wasiojua kama mafundi umeme .We ulikuwapi
Ushaidi ulitaka ulitaka ushaidi wakati walitoa tamko la masaa 72 .Nimerudia kusoma lakini sijaona kama post inaendana na mada husika.
Kuipanga Arsenal na Real Madrid kwenye robo fainali ni sawa sawa na kulipasua yai kwa kutumia nyukliaYanga walitoa saa 72 kwa bodi ya Ligi kuwapa ushindi kwenye dabi iliyoota mbawa, sasa nauliza muda bado haujafika?