Hivi zile Scania benz za kampuni ya Azam (approximately) zinauzwa shs ngapi?

Hivi zile Scania benz za kampuni ya Azam (approximately) zinauzwa shs ngapi?

okoyoko

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2014
Posts
2,664
Reaction score
3,641
Habarini wanajamvi nadhani wengi wenu mshaziona hizi scania mpya (benz) za kampuni ya Bakhressa (Azam) nyingi zikiwa zinapiga route kwenda mikoani.

Kuna hela Mungu kanijaalia nataka niwekeze kwenye biashara ya magari ya mizigo, naombeni details kuhusu hizo scania (benz) za bakhressa, are those scania worth it? kwasababu yanaonekana kuwa yana quality nzuri sana..

Nawasilisha..

Those trucks each n kama 100M au 150M au below ya hapo kwa kila tractor either benz or scania pia itategemea unataka iwe na horse power ngapi most of them kuanzia 400-500 af n 6X2 n nyingi, so kwa trailers kuanzia mil 70 au below na inategemea unataka flatbed au skeleton kuna trailers manufacturers kama superdoll simba serin AM trailers etc so jipange we have company ya road Haulage for more info check me out
Nb: hzo gar waona zote n second hand.
 
Kwanini umeziita scania Benz, zinaitwa Mercedes Benz actros na kujua bei tu kama ni mpya ya mwaka huu ni 600m bado iko nje ikiingia tz na ushuru wake ongeza bado trailer. Jipange sasa
 
Nadhani Superdoll ndio wahusika wakuu kwa maana ndio wanaodeal na Trailer zenye Quality ya hali ya juu zaidi Africa Mashariki nzima na hivyo kufanya gari kuwa standard hiyo Horce ya Mercedes Benz huwa zinaletwa na kufungwa hizo trailer
 
Mkuu scania benz ndio nini??!!! Scania na benz (mercedes) ni vitu viwili tofauti kabisa mkuu...!!! Au unamaanisha kila lorry ni scania!!??.....yale yale ya nyerere wa kenya anaitwa nani?!)
 
Kwanini umeziita scania Benz, zinaitwa Mercedes Benz actros na kujua bei tu kama ni mpya ya mwaka huu ni 600m bado iko nje ikiingia tz na ushuru wake ongeza bado trailer. Jipange sasa

Zile Za Bakhresa ni Mpya kabisa,Watu tupo tofauti,wengine hata baskeli ni mtihani kununua.

Mtoa mada jipange,mpya hadi tz ni 1.2b
 
Just google ili ujue price at source, then waone tra na bandari wakupe gharama zao. Weka 20% ya hizo gharma kwa gharama zinginezo. Then you will know the aexactly cost ya hizo maneno.
 
Those trucks each n kama 100M au 150M au below ya hapo kwa kila tractor either benz or scania pia itategemea unataka iwe na horse power ngapi most of them kuanzia 400-500 af n 6X2 n nyingi, so kwa trailers kuanzia mil 70 au below na inategemea unataka flatbed au skeleton kuna trailers manufacturers kama superdoll simba serin AM trailers etc so jipange we have company ya road Haulage for more info check me out
Nb: hzo gar waona zote n second hand.
 
Zile Za Bakhresa ni Mpya kabisa,Watu tupo tofauti,wengine hata baskeli ni mtihani kununua.

Mtoa mada jipange,mpya hadi tz ni 1.2b

Na kweli naona ameuliza tu maana hata aina za lorry hazijui, at least atajua sasa Scandinavia na Germany tofauti zake
 
Mkuu scania benz ndio nini??!!! Scania na benz (mercedes) ni vitu viwili tofauti kabisa mkuu...!!! Au unamaanisha kila lorry ni scania!!??.....yale yale ya nyerere wa kenya anaitwa nani?!)

Au Muhimbili ya Uganda inaitwaje?
Mirembe ya Burundi iko wapi?
 
Kwanini umeziita scania Benz, zinaitwa Mercedes Benz actros na kujua bei tu kama ni mpya ya mwaka huu ni 600m bado iko nje ikiingia tz na ushuru wake ongeza bado trailer. Jipange sasa

Ahsante.
 
Hosaaaanaaaa hosaaaanaaaa ndieeee munguu wetuuuuuuuuuuuuu
 
mkuu tafuta 80mill hadi 95 na kama unataka tank andaa 50-60mill lenye quality nzuri

14060821861_d4fb2c1dba_n.jpg
 
mkuu tafuta 80mill hadi 95 na kama unataka tank andaa 50-60mill lenye quality nzuri

14060821861_d4fb2c1dba_n.jpg

Jambazi mwambie jamaa ukweli usimdanganye..
Scania kwenye yard za hapa zinaenda 80M nakuendelea hyo ni horse tu..
Sasa utasemaje kwenye Actros ndugu yangu. Sijajua bei vizuri ila zipo mbali sana, mleta uzi ingia kwenye site yao utaona bei kulingana na mahitaji.
 
Last edited by a moderator:
Habarini wanajamvi nadhani wengi wenu mshaziona hizi scania mpya (benz) za kampuni ya Bakhressa (Azam) nyingi zikiwa zinapiga route kwenda mikoani.

Kuna hela Mungu kanijaalia nataka niwekeze kwenye biashara ya magari ya mizigo, naombeni details kuhusu hizo scania (benz) za bakhressa, are those scania worth it? kwasababu yanaonekana kuwa yana quality nzuri sana..

Nawasilisha..
Ndugu okoyoko ulijichanganya kidogo kuhusu jina. Lakini ni kitu unachoweza kununua maana umejipanga. Shida watu humu wanadhani kila mtu ana shida. Usikate tamaa mkuu. Hizo million mia mia, mia hamsini uwe nazo jirani kwa kila gari. Lakini biashara ya uchukuzi inahitaji commitment mkuu na network. Lakini pia bado inaweza ikafanyika bila shida.
 
Last edited by a moderator:
Nadhani Superdoll ndio wahusika wakuu kwa maana ndio wanaodeal na Trailer zenye Quality ya hali ya juu zaidi Africa Mashariki nzima na hivyo kufanya gari kuwa standard hiyo Horce ya Mercedes Benz huwa zinaletwa na kufungwa hizo trailer

Ulimaanisha "horse"? au terminology ya ma truck tusiyoijuwa?

Hizi elimu zingine ni mashaka makubwa sana, vijana siku hizi English yai, Kiswahili yai.

Hivi hizi shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
 
Habarini wanajamvi nadhani wengi wenu mshaziona hizi scania mpya (benz) za kampuni ya Bakhressa (Azam) nyingi zikiwa zinapiga route kwenda mikoani.

Kuna hela Mungu kanijaalia nataka niwekeze kwenye biashara ya magari ya mizigo, naombeni details kuhusu hizo scania (benz) za bakhressa, are those scania worth it? kwasababu yanaonekana kuwa yana quality nzuri sana..

Nawasilisha..
ushauri wa bure tafuta kiwanja maeneo ya kibaigwa,ubaruku,mtwara,mkuranga,mafia jenga hotel ka vyumba 10 self,kuwe na restaurant bed & breakfast kuwe na parking hutajutia!!!ipo siku utanikumbuka
 
Ulimaanisha "horse"? au terminology ya ma truck tusiyoijuwa?

Hizi elimu zingine ni mashaka makubwa sana, vijana siku hizi English yai, Kiswahili yai.

Hivi hizi shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
ccm imeua elimu kabisa ya mtanzania,bora elimu ya kikoloni
 
Back
Top Bottom