Hivi zile Scania benz za kampuni ya Azam (approximately) zinauzwa shs ngapi?

Hivi zile Scania benz za kampuni ya Azam (approximately) zinauzwa shs ngapi?

Kile kichwa wanaita horse lakin sio hivo kitaalam inaitwa tractor unit na kinakua bila trailer, ukiweka trailer meng yetu hapa tz ndio tunaita semi-trailer,Kuna fulltrailer kuna inter-semitrailer pia kwa nchi zingine kuna super-link trailer truck

Asante sana kwa kunipatia elimu hii.
 
Kwanini umeziita scania Benz, zinaitwa Mercedes Benz actros na kujua bei tu kama ni mpya ya mwaka huu ni 600m bado iko nje ikiingia tz na ushuru wake ongeza bado trailer. Jipange sasa

Hizi bei mnazitoaga wapi aisee!!!???
 
so tractor unit na semi trailer ya mercedes benz actros, inaweza kuwa Tshs ngapi in total

Kwa sasa unaweza kwenda nyerere road karibu na vingunguti ukaulizia kuna ofisi za scania Tanzania na hata Mercedes Benz wapo pale ukapata bei na model zake na watakupa ushauri wa bureee kabisa ununue model gan
Scania tuko nazo R series n G series 2010 tractor ni kama alichukua mil 120 used yan zimetumika ulaya ila wamezirepair ziko kama mpya i mean kama hiz gar ndogo za japan zinakuja kama mpya ila zimetumika au kama unaona magar ya azam n used wao wanaita hiv sijui kwa neno zur n lipi kwa benz Actross 5549 models hizo possible kwenye 150 hiv kwa tractor unit.
Trailers inategemea wataka flatbed au skeleton ila flat n bei juu kdogo over skeleton
Waone simba tabata matumbi duperdoll nyerere road etc au zipo hiz za uturuki zinaitwa serin ingia serin.com utaona
 
Hosaaaanaaaa hosaaaanaaaa ndieeee munguu wetuuuuuuuuuuuuu

Wewe mwenzangu njoo tufanye biashara........nina kichwa cha DAF nauza........Mshawa woke utatafuta mwenyewe........bei hatushindwani..........
 
Ulimaanisha "horse"? au terminology ya ma truck tusiyoijuwa?

Hizi elimu zingine ni mashaka makubwa sana, vijana siku hizi English yai, Kiswahili yai.

Hivi hizi shule huwa mnaenda kusomea ujinga?

Elimu...unayoiponda ni Matunda ya Secondary za Kata....ambazo.muasisi.....wake ni chama chako....au mmezianzisha....ili mje kuwananga wanaosoma humo....
 
1280px-Transportplan_Mercedes-Benz_Actros.jpg
Mercedes_Benz_Actros Silver.jpg
Mercedes_Benz_Actros.jpg
 
Nadhani Superdoll ndio wahusika wakuu kwa maana ndio wanaodeal na Trailer zenye Quality ya hali ya juu zaidi Africa Mashariki nzima na hivyo kufanya gari kuwa standard hiyo Horce ya Mercedes Benz huwa zinaletwa na kufungwa hizo trailer

Sio superdoll peke yao

Bhachu wa kule kenya wako vizuri mno

AM wa Tanzania

na Simba Trailers

superdoll wana jina ila hamna difference kati yao na Bhachu,AM, simba

niko kwenye kampuni za mizigo na Eksipiriensi ya Ma trailers
 
Habarini wanajamvi nadhani wengi wenu mshaziona hizi scania mpya (benz) za kampuni ya Bakhressa (Azam) nyingi zikiwa zinapiga route kwenda mikoani.

Kuna hela Mungu kanijaalia nataka niwekeze kwenye biashara ya magari ya mizigo, naombeni details kuhusu hizo scania (benz) za bakhressa, are those scania worth it? kwasababu yanaonekana kuwa yana quality nzuri sana..

Nawasilisha..
Me naona bora ufanye biashara nyingine nina marafiki wako kwenye hiyo biashara ni pasua kichwa
 
UYU ATAKUMISLEAD. KAANDIKA UONGO TENA UONGO MKUBWA MCHANA KWA TAHARIFA YAKO HAYA MASHANGINGI YA MAFISADI WALIOKO SERIKALINI NI ZAIDI 100M HALAFU ILE MIGARI NDO IWR M100 TO 150M?? THUBUTU
NADHANI ELA ULONAYO ITATOSHA KUNUNUA SUZUKI CARRY Tu.

Hata mm nmeshangaa sana kuambiwa eti million100, thubutu kila mtu angekuwa nayo. Anashindwa kutofautisha Scania Used ambazo wasafirishaji wengi wa Kitanzania huyanunua soko hasa la UK na kuyaleta Bongo. Hayo ndo utapata kwa hizo 100-150m/- hapo bila Trailer ila yanakuwa na hali nzuri!
Ukweli ni kwamba yale malorry ya BAkharesa ni mapya kabisa na bei ni kubwa siyo chini ya 300m/- na kuendelea hicho ni kichwa kabla ya trailer au bodi! Kama bei anayotaja mdau ingekuwa ni.hiyo.yangetapakaa kila mahali lakini ukichek utaona mengi ni Scania mtumba au Howo za Kichina tu!
 
Malori aliyonunua Bakhressa hivi karibuni ni Mercedes-Benz Actros na Volvo FH12. Yote ni 6X4.
Safi kabisa ... niongezee tu bakhressa ananunua gari kabisa , mpya lakini standard version,
Unapotaka kununua malori (tractor units ) kuna vigezo vinazingatiwa ,hasa aina ya matumizi ,uzito utakao beba na njia utakazo pita ukisha jua hilo ndio unakwenda kununua horse kutokana na horse power .
Watu wengi biashara hii inawashinda kwa kuwa wananunua magari bila kudhingatia ugumu au urahisi wa njia au kazi watakazofanya , mf horse power 200-300 hutakiwi kuzidisha tani 18, gari standard kwa sasa ni 400-500hp, ingawa una weza uka opt kwenye extravagants 500-750Hp bands,
Nikirudi kwa mtoa mada ,kusema tu unataka lori kama la bakherssa unakuwa hauko specific ,na nina wasiwasi hata biashara yenyewe hujaijua vizuri, yeye anakwenda njia zozote kwa hiyo ameamua kununua 6x4 hii ni nzito lakini imara ,kwa kulifahamu hiyo anatumia trailer za Serin (Turkey) full air ride . kimsingi lori za bakhresa ni combination ya (horse) tractor unit, nzito na imara6x4 na trailer nyepesi sana ,but a very expensive combo kwa wanaoanza biashara ya lori.
kwa kuwa unaanza ni vema ukatumia 6x2 ambayo kwanza ni rahisi kununua , nyepesi, hivo utabeba mzigo mwingi n.k.. halafu tafuta trailer za imara.
 
Nimeupenda ushauri wa BONGOLALA ukiwekeza kwenye real estate ni dili powaaa sanaaa
 
Last edited by a moderator:
Elimu...unayoiponda ni Matunda ya Secondary za Kata....ambazo.muasisi.....wake ni chama chako....au mmezianzisha....ili mje kuwananga wanaosoma humo....

Spelling za horse watu huanza kuzijuwa wakiwa vidudu si Sekondari. Unaonesha ni mjinga tu kwa stupid argument yako.

Huo ni ujinga wa kuzaliwa na hakuna shule inayofundisha kuuondoa ujinga.
 
Stor za vijiweni hizi et 600 hata scania ile imetoka mwaka jana R730 bei ake haifiki hivo hata ukute 0 Mileage.

Hata mimi nimeshangaa sana ,.... kuna rafiki yangu amunua r730 6x2 mwaka huu brand new kwa paund 113000,
 
Back
Top Bottom