Mkuu scania benz ndio nini??!!! Scania na benz (mercedes) ni vitu viwili tofauti kabisa mkuu...!!! Au unamaanisha kila lorry ni scania!!??.....yale yale ya nyerere wa kenya anaitwa nani?!)
tunaamini kila lorry ni scania, ila usihofu tutafika tu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu scania benz ndio nini??!!! Scania na benz (mercedes) ni vitu viwili tofauti kabisa mkuu...!!! Au unamaanisha kila lorry ni scania!!??.....yale yale ya nyerere wa kenya anaitwa nani?!)
Those trucks each n kama 100M au 150M au below ya hapo kwa kila tractor either benz or scania pia itategemea unataka iwe na horse power ngapi most of them kuanzia 400-500 af n 6X2 n nyingi, so kwa trailers kuanzia mil 70 au below na inategemea unataka flatbed au skeleton kuna trailers manufacturers kama superdoll simba serin AM trailers etc so jipange we have company ya road Haulage for more info check me out
Nb: hzo gar waona zote n second hand.
ushauri wa bure tafuta kiwanja maeneo ya kibaigwa,ubaruku,mtwara,mkuranga,mafia jenga hotel ka vyumba 10 self,kuwe na restaurant bed & breakfast kuwe na parking hutajutia!!!ipo siku utanikumbuka
Yeah, bei ndo hyohyo!
Mkuu scania benz ndio nini??!!! Scania na benz (mercedes) ni vitu viwili tofauti kabisa mkuu...!!! Au unamaanisha kila lorry ni scania!!??.....yale yale ya nyerere wa kenya anaitwa nani?!)
ccm imeua elimu kabisa ya mtanzania,bora elimu ya kikoloni
Au Muhimbili ya Uganda inaitwaje?
Mirembe ya Burundi iko wapi?
mkuu tafuta 80mill hadi 95 na kama unataka tank andaa 50-60mill lenye quality nzuri
![]()
Zile Za Bakhresa ni Mpya kabisa,Watu tupo tofauti,wengine hata baskeli ni mtihani kununua.
Mtoa mada jipange,mpya hadi tz ni 1.2b
Mwaka jana dt dobie walikuwa wanauza dollar 150,000 horse pekee bila body. Na bei hiyo bado kodi.
UYU ATAKUMISLEAD. KAANDIKA UONGO TENA UONGO MKUBWA MCHANA KWA TAHARIFA YAKO HAYA MASHANGINGI YA MAFISADI WALIOKO SERIKALINI NI ZAIDI 100M HALAFU ILE MIGARI NDO IWR M100 TO 150M?? THUBUTU
NADHANI ELA ULONAYO ITATOSHA KUNUNUA SUZUKI CARRY Tu.
Samahani, naomba kueleweshwa, unaposema 'horse pekee bila body' unamaanisha kichwa bila tela au kitu gani hapo?
Habarini wanajamvi nadhani wengi wenu mshaziona hizi scania mpya (benz) za kampuni ya Bakhressa (Azam) nyingi zikiwa zinapiga route kwenda mikoani.
Kuna hela Mungu kanijaalia nataka niwekeze kwenye biashara ya magari ya mizigo, naombeni details kuhusu hizo scania (benz) za bakhressa, are those scania worth it? kwasababu yanaonekana kuwa yana quality nzuri sana..
Nawasilisha..
Ndio kichwa pekee.
UYU ATAKUMISLEAD. KAANDIKA UONGO TENA UONGO MKUBWA MCHANA KWA TAHARIFA YAKO HAYA MASHANGINGI YA MAFISADI WALIOKO SERIKALINI NI ZAIDI 100M HALAFU ILE MIGARI NDO IWR M100 TO 150M?? THUBUTU
NADHANI ELA ULONAYO ITATOSHA KUNUNUA SUZUKI CARRY Tu.
Samahani, naomba kueleweshwa, unaposema 'horse pekee bila body' unamaanisha kichwa bila tela au kitu gani hapo?