Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama una hela na ndio unaanza nunua HOWO brand ya mchina achana na scania, benz kwa sasa mpaka utakapokuwa kibiashara.
Kama una hela na ndio unaanza nunua HOWO brand ya mchina achana na scania, benz kwa sasa mpaka utakapokuwa kibiashara.
Ingia google
Ulimaanisha "horse"? au terminology ya ma truck tusiyoijuwa?
Hizi elimu zingine ni mashaka makubwa sana, vijana siku hizi English yai, Kiswahili yai.
Hivi hizi shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
acha kumpotosha zile nazo gari au plastic au kwakuwa wew una duka la spare unataka aje anunue dukan kwako!
Habarini wanajamvi nadhani wengi wenu mshaziona hizi scania mpya (benz) za kampuni ya Bakhressa (Azam) nyingi zikiwa zinapiga route kwenda mikoani.
Kuna hela Mungu kanijaalia nataka niwekeze kwenye biashara ya magari ya mizigo, naombeni details kuhusu hizo scania (benz) za bakhressa, are those scania worth it? kwasababu yanaonekana kuwa yana quality nzuri sana..
Nawasilisha..
Sio kweli... Howo or any chinese brands ni best option kwenye fleet company yenye gari nyingi na very poor, drivers, exparts or maintanance...kwa wanao anza Howo bado ni ghali,
Ki uhalisia majina makubwa, Benz ,Volvo ,Scania , bado yanatamba.
UYU ATAKUMISLEAD. KAANDIKA UONGO TENA UONGO MKUBWA MCHANA KWA TAHARIFA YAKO HAYA MASHANGINGI YA MAFISADI WALIOKO SERIKALINI NI ZAIDI 100M HALAFU ILE MIGARI NDO IWR M100 TO 150M?? THUBUTU
NADHANI ELA ULONAYO ITATOSHA KUNUNUA SUZUKI CARRY Tu.
kwanini iwe mombasa dada?
Nyerere.