Ahaaa kuumbeZile hela wakina wema waliisha mpiga zote akataka kufanya biashara ya madini matapeli nao wakampiga saizi anafanya maigizo kama wakina mzee majuto
Usifanye mchezo na mbunyeWakati huu wa maisha magumu na pesa imekuwa ngumu kupatikana,
Nikawaza zile millioni mia tano za yule aliyekuwa mshindi wa shindano la Big brother Afrika, bwana Idriss Sultan ni kwamba ametumbua zile pesa zote zimeisha na kubaki kapuku bila ya kuwa na uwekezaji wowote mpaka sasa kubaki mweupe na kushiwa kabisa????
Maana nusi billion navyofikiria mimi kama ningeipata wakati uo nafikiri rafiki zangu wangekuwa Magufuli au Kikwete labda ningekuwa level izo za maisha kwa mafanikio.
Sasa ni kweli uyu jamaaa kafilisika kabisaaa bila kuwa hata na uwekezaji??
Akili zenu ndio za kishetani.>>>>Zile pesa ni za kiShetani..
Zile pesa ni kishetani maana washindi wote 3 waliopata hizo pesa hakuna ambaye alifanya cha maana zaidi ya kuzifuja.Wakati huu wa maisha magumu na pesa imekuwa ngumu kupatikana,
Nikawaza zile millioni mia tano za yule aliyekuwa mshindi wa shindano la Big brother Afrika, bwana Idriss Sultan ni kwamba ametumbua zile pesa zote zimeisha na kubaki kapuku bila ya kuwa na uwekezaji wowote mpaka sasa kubaki mweupe na kushiwa kabisa?
Maana nusu billioni navyofikiria mimi kama ningeipata wakati huo nafikiri rafiki zangu wangekuwa Magufuli au Kikwete labda ningekuwa level hizo za maisha kwa mafanikio.
Sasa ni kweli huyu jamaaa kafirisika kabisa bila kuwa hata na uwekezaji?
Hiii avatar yako kuna kijiji chaitwa Kifinga kipo katikati ya kidodi na Nyamvisi uko kilombero bila shaka ww ni mkazi au mzawa wa uko??Zile hela wakina wema waliisha mpiga zote akataka kufanya biashara ya madini matapeli nao wakampiga saizi anafanya maigizo kama wakina mzee majuto
[emoji23][emoji23][emoji23]Zile hela wakina wema waliisha mpiga zote akataka kufanya biashara ya madini matapeli nao wakampiga saizi anafanya maigizo kama wakina mzee majuto
Wakati huu wa maisha magumu na pesa imekuwa ngumu kupatikana,
Nikawaza zile millioni mia tano za yule aliyekuwa mshindi wa shindano la Big brother Afrika, bwana Idriss Sultan ni kwamba ametumbua zile pesa zote zimeisha na kubaki kapuku bila ya kuwa na uwekezaji wowote mpaka sasa kubaki mweupe na kushiwa kabisa?
Maana nusu billioni navyofikiria mimi kama ningeipata wakati huo nafikiri rafiki zangu wangekuwa Magufuli au Kikwete labda ningekuwa level hizo za maisha kwa mafanikio.
Sasa ni kweli huyu jamaaa kafirisika kabisa bila kuwa hata na uwekezaji?
Zile pesa ni kishetani maana washindi wote 3 waliopata hizo pesa hakuna ambaye alifanya cha maana zaidi ya kuzifuja.
1.Mwisho halizifuja na ray C mwisho kawa teja.
2.Nando naye alioa bibi wa kuzungu mwisho kawa teja.
3.Idris naye naye ametumbua na Wema Sepetu mungu amnusuru asiingie kwenye uteja kama wenzie.