Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
Mambo mengine.vijana tubadilike unaanza kumwongelea mtu ambaye sio ndugu yako faida niniHivi bado haujakua tu..!??
So sad.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo mengine.vijana tubadilike unaanza kumwongelea mtu ambaye sio ndugu yako faida niniHivi bado haujakua tu..!??
So sad.
Tatizo LA Watanzania tuko busy sana na mambo ya watu wakati mambo yetu wenyewe yanatuendea harijojo= kafilisika.
Tafuta zako za mwenzako zinakuhusu nini?
Hivi bado haujakua tu..!??
So sad.
Yani huyu ana threads zaidi ya 5000 lakini karibia zote ni za ukosoaji tu kumbe,...hebu uwe unatoa mada zenye misingi ili hata wingi wa threads zako uwe na maana.= kafilisika.
Tafuta zako za mwenzako zinakuhusu nini?
Zaidi ya 50,000Yani huyu ana threads zaidi ya 5000 lakini karibia zote ni za ukosoaji tu kumbe,...hebu uwe unatoa mada zenye misingi ili hata wingi wa threads zako uwe na maana.
Unajua maana ya "kampuni kubwa"?Amefungua kampuni mbili kubwa sana na ameajiri wafanyakazi saba hivi yani 7
So him he has spent the sum so as not to get old??Why so sad? People are spending millions so as not to be old.
What has it got to do with you anyway?
So him he has spent the sum so as not to get old??
Don't be ridiculous poor woman...!
English kwanza!Wadau Naomba Kujua Sifa Na Utaratibu, Nataka Kushiriki BBA Mwaka Huu
Kingereza hukiwezi, nilikujaribu tu nilipoona umepachika maneno ya Kingereza. Unatia kinyaa na Kingereza chako cha viroba.
Nenda juu kajisome tena uliandika nini.
Ukiwa nje ya uwanja wachezaji wote uwanjani huwa unawaona wabovu ingia wewe uone balaa lake.Ningekuwa mimi nimezipata hizo Mln.500, ningeweka fixed deposit angalau Mln.400 then hiyo moa mia ningeweka kamjengo ka kistaa, na kamkoko fulani kakali ka kijapan, then kila mwaka natengeneza Mln 20 kama faida kama rate ya profit ni 5% per annual, kama kwa mwezi ni Mln 1.6, sio haba huchoki.
Ila kwa kuwa ni pesa zisizo na jasho, wasanii hawa hudhani hawatafulia.
Hivi Huyu Jamaa Idris si alinunuliwa Mjengo wa Maana Ghorofa Moja(AFRIKANA) na eneo kubwa tu la garden na parking limeishia wapi? AU ilikuwa Kiki ya kuwavuta kina wema ili awachape NAO?Wakati huu wa maisha magumu na pesa imekuwa ngumu kupatikana,
Nikawaza zile millioni mia tano za yule aliyekuwa mshindi wa shindano la Big brother Afrika, bwana Idriss Sultan ni kwamba ametumbua zile pesa zote zimeisha na kubaki kapuku bila ya kuwa na uwekezaji wowote mpaka sasa kubaki mweupe na kushiwa kabisa?
Maana nusu billioni navyofikiria mimi kama ningeipata wakati huo nafikiri rafiki zangu wangekuwa Magufuli au Kikwete labda ningekuwa level hizo za maisha kwa mafanikio.
Sasa ni kweli huyu jamaaa kafirisika kabisa bila kuwa hata na uwekezaji?
Ningekuwa mimi nimezipata hizo Mln.500, ningeweka fixed deposit angalau Mln.400 then hiyo moa mia ningeweka kamjengo ka kistaa, na kamkoko fulani kakali ka kijapan, then kila mwaka natengeneza Mln 20 kama faida kama rate ya profit ni 5% per annual, kama kwa mwezi ni Mln 1.6, sio haba huchoki.
Ila kwa kuwa ni pesa zisizo na jasho, wasanii hawa hudhani hawatafulia.
Hakununuliwa mkuu alipewa zawadi na bosi wake.Akae mule kwa muda wa mwaka mmoja kama zawadi yake kwa kuiwakalisha vizuri kampuni yake kimataifa.Hivi Huyu Jamaa Idris si alinunuliwa Mjengo wa Maana Ghorofa Moja(AFRIKANA) na eneo kubwa tu la garden na parking limeishia wapi? AU ilikuwa Kiki ya kuwavuta kina wema ili awachape NAO?
OKAY NILIJUA NI MJENGO WAKE,KAMA NDIO HIVYO WEMA MUNGU ANAMUONA KUMPUKUTISHA IDRIS HADI MPAKA SASA HANA HATA KIWANJA HATARI.Hakununuliwa mkuu alipewa zawadi na bosi wake.Akae mule kwa muda wa mwaka mmoja kama zawadi yake kwa kuiwakalisha vizuri kampuni yake kimataifa.
Mkuu unadhani ni kitu rahisi mwanaume amnunulie mwanaume mwenzie mjengo tena bure bure tu mkiwa amna udugu wowote?!
🙂Ujumbe wa kwenye matrela ya malori.= kafilisika.
Tafuta zako za mwenzako zinakuhusu nini?