nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
Angejenga kajumba ka milioni 50 nje ya muji
Angenunua daladala mabasi kumi(10) ya second hand.
Kila daladala moja hesabu 100,000 kwa siku mara kumi=1,000,000 mara mwezi 30 mil.
Kwa muda huu angekuwa ofisini kwake anaperuzi na kutandaa na kumjibuni kigongo kwa kigongo.
Angenunua daladala mabasi kumi(10) ya second hand.
Kila daladala moja hesabu 100,000 kwa siku mara kumi=1,000,000 mara mwezi 30 mil.
Kwa muda huu angekuwa ofisini kwake anaperuzi na kutandaa na kumjibuni kigongo kwa kigongo.