Atacms
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 4,884
- 8,924
taja jina la hiyo kampuni!!!Amefungua kampuni mbili kubwa sana na ameajiri wafanyakazi saba hivi yani 7
..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
taja jina la hiyo kampuni!!!Amefungua kampuni mbili kubwa sana na ameajiri wafanyakazi saba hivi yani 7
Yani huyu ana threads zaidi ya 5000 lakini karibia zote ni za ukosoaji tu kumbe,...hebu uwe unatoa mada zenye misingi ili hata wingi wa threads zako uwe na maana.
Kwa iyo mfano ukaweka 400mln kwa miezi mi2 return yake inakuwajeInterest ya fixed deposit huwa zinaenda hadi 10% na ukikomaa fresh hadi 13% inategemea na bank lakini.
Tatizo wabongo tulio wengi hatuna mipango. Tupo kama hatupo vile. Kwa tulio wengi, tunahisi million mia tano ni nyingi kiasi ambacho unaweza ukawa unatumia bila kuizungusha na ikabaki. Hali halisi haipo ivo.
sallam..naunga mkono ,unajua kuna upuuzi na dhambi tunafanya mpaka shetani anaona cheo chake kidogo..Akili zenu ndio za kishetani.
Nazikumbuka zile raba mbayaaaaa eti kanunua milioni sita.
Visuti vibayaaaaa eti milioni tanotano.
Halafu mumsingizie Mr. shetani hayo maujinga aliyokuwa anayafanya
Utaritibu unafahamika...ukitaka mpaka mwisho wake pia unafahamika[emoji117]uteja. So, tuanze kukuelezea utaratibu au mwisho wake(soma uzi kuelewa mwisho wa hizo mambo)? Acha kupenda mtelezo piga kaziWadau Naomba Kujua Sifa Na Utaratibu, Nataka Kushiriki BBA Mwaka Huu
Idrisa na RichardEmbu nisaidie kidogo kama sijakosea kwenye hiyo list uliyotaja kumbukumbu zangu zinaniambia ni Idris tu aliyewahi kushindaga na yule half cast mwingine aliyeondokaga na kwenda kuishi Canada baada ya kushinda au nimekosea?
Zile zilikuwa zama za 'laki si pesa' kama ngosha mmoja aliita bilioni vijisenti hakika pesa za huyu bw mdogo zilikuwa chenji.Wakati huu wa maisha magumu na pesa imekuwa ngumu kupatikana,
Nikawaza zile millioni mia tano za yule aliyekuwa mshindi wa shindano la Big brother Afrika, bwana Idriss Sultan ni kwamba ametumbua zile pesa zote zimeisha na kubaki kapuku bila ya kuwa na uwekezaji wowote mpaka sasa kubaki mweupe na kushiwa kabisa?
Maana nusu billioni navyofikiria mimi kama ningeipata wakati huo nafikiri rafiki zangu wangekuwa Magufuli au Kikwete labda ningekuwa level hizo za maisha kwa mafanikio.
Sasa ni kweli huyu jamaaa kafirisika kabisa bila kuwa hata na uwekezaji?
Wapi?Hivi si alinunuaga nyumba huyu?
Wapi?Hivi si alinunuaga nyumba huyu?
Hivi si alinunuaga nyumba huyu?
Mbunye ni tamu 😀Usifanye mchezo na mbunye
Nani Kakuambia BBA Ni Mtelezo ?Utaritibu unafahamika...ukitaka mpaka mwisho wake pia unafahamika[emoji117]uteja. So, tuanze kukuelezea utaratibu au mwisho wake(soma uzi kuelewa mwisho wa hizo mambo)? Acha kupenda mtelezo piga kazi
Yule jamaa si ni role model wetu= kafilisika.
Tafuta zako za mwenzako zinakuhusu nini?
Walioshinda niEmbu nisaidie kidogo kama sijakosea kwenye hiyo list uliyotaja kumbukumbu zangu zinaniambia ni Idris tu aliyewahi kushindaga na yule half cast mwingine aliyeondokaga na kwenda kuishi Canada baada ya kushinda au nimekosea?