Hivi zile zaidi ya millioni mia tano za yule mshindi wa Big brother zimeyeyuka?

Hivi zile zaidi ya millioni mia tano za yule mshindi wa Big brother zimeyeyuka?

Zile hela wakina wema waliisha mpiga zote akataka kufanya biashara ya madini matapeli nao wakampiga saizi anafanya maigizo kama wakina mzee majuto
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] hatari nguvu ya papuchi.
 
Zile pesa ni kishetani maana washindi wote 3 waliopata hizo pesa hakuna ambaye alifanya cha maana zaidi ya kuzifuja.
1.Mwisho halizifuja na ray C mwisho kawa teja.
2.Nando naye alioa bibi wa kuzungu mwisho kawa teja.
3.Idris naye naye ametumbua na Wema Sepetu mungu amnusuru asiingie kwenye uteja kama wenzie.

Nando hajawahi kushinda zile fedha, richi alikua na mke mzungu kabla hajashinda hizo fedha.
 
>>>>Zile pesa ni za kiShetani..
haramu siku zote ni haramu tu hakuna namna ya kuitakatisha au kilichohalali kwa shetani haumrudia shetani mwenyewe ni sawasawa na kuchukua vibuyu vya uganga na uchawi ili vikatumike madhabahuni
 
Zile pesa ni kishetani maana washindi wote 3 waliopata hizo pesa hakuna ambaye alifanya cha maana zaidi ya kuzifuja.
1.Mwisho halizifuja na ray C mwisho kawa teja.
2.Nando naye alioa bibi wa kuzungu mwisho kawa teja.
3.Idris naye naye ametumbua na Wema Sepetu mungu amnusuru asiingie kwenye uteja kama wenzie.
Mbona hujasema kuhusu mshindi wa US dollars 100,000 ambaye ni Mr Richard Bezuidenhout.
 
Wakati huu wa maisha magumu na pesa imekuwa ngumu kupatikana,
Nikawaza zile millioni mia tano za yule aliyekuwa mshindi wa shindano la Big brother Afrika, bwana Idriss Sultan ni kwamba ametumbua zile pesa zote zimeisha na kubaki kapuku bila ya kuwa na uwekezaji wowote mpaka sasa kubaki mweupe na kushiwa kabisa?

Maana nusu billioni navyofikiria mimi kama ningeipata wakati huo nafikiri rafiki zangu wangekuwa Magufuli au Kikwete labda ningekuwa level hizo za maisha kwa mafanikio.

Sasa ni kweli huyu jamaaa kafirisika kabisa bila kuwa hata na uwekezaji?
kumbuka lile n shindano hapo hajakatwa kodi, sec.kuna wale wadau walopiga kura nao wamo, kuna wale walomwezesha kufika huko nao wamo kila mahli 10% abak na nn matokeo yake saiv kapanga mbezi ya chini nyumba wanaish kam sita hiv wanachangia kodi ....huruma tupu
 
Embu nisaidie kidogo kama sijakosea kwenye hiyo list uliyotaja kumbukumbu zangu zinaniambia ni Idris tu aliyewahi kushindaga na yule half cast mwingine aliyeondokaga na kwenda kuishi Canada baada ya kushinda au nimekosea?
Kuna jamaa mmoja wa bongo movie jina Richard kama sikosei.....na idris
 
Wakati huu wa maisha magumu na pesa imekuwa ngumu kupatikana,
Nikawaza zile millioni mia tano za yule aliyekuwa mshindi wa shindano la Big brother Afrika, bwana Idriss Sultan ni kwamba ametumbua zile pesa zote zimeisha na kubaki kapuku bila ya kuwa na uwekezaji wowote mpaka sasa kubaki mweupe na kushiwa kabisa?

Maana nusu billioni navyofikiria mimi kama ningeipata wakati huo nafikiri rafiki zangu wangekuwa Magufuli au Kikwete labda ningekuwa level hizo za maisha kwa mafanikio.

Sasa ni kweli huyu jamaaa kafirisika kabisa bila kuwa hata na uwekezaji?
Zinakuhusu nini hata zikiwa zimeisha?si zke?kwa nini unajaza akili yako vitu ambavyo havina faida kwako?Au unataka kumkopesha?Au amekuomba umsaidie?Acha kupoteza muda na mambo ya watu fanya yako!
 
Hii mizigo tunayompa shetani pengine MUNGU anasononeka sana!!! Yaani akiri yako ya kutumia unamsemaje shetani??? Kama n za kishetani basi zinatakiwa kuendelezwa kishetani kwa kuzitumbua na akina Sepenga n.k
 
Zile hela wakina wema waliisha mpiga zote akataka kufanya biashara ya madini matapeli nao wakampiga saizi anafanya maigizo kama wakina mzee majuto
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
kumbuka lile n shindano hapo hajakatwa kodi, sec.kuna wale wadau walopiga kura nao wamo, kuna wale walomwezesha kufika huko nao wamo kila mahli 10% abak na nn matokeo yake saiv kapanga mbezi ya chini nyumba wanaish kam sita hiv wanachangia kodi ....huruma tupu
[emoji23]
 
Zile pesa ni kishetani maana washindi wote 3 waliopata hizo pesa hakuna ambaye alifanya cha maana zaidi ya kuzifuja.
1.Mwisho halizifuja na ray C mwisho kawa teja.
2.Nando naye alioa bibi wa kuzungu mwisho kawa teja.
3.Idris naye naye ametumbua na Wema Sepetu mungu amnusuru asiingie kwenye uteja kama wenzie.
mbona humtaji richard
 
pesa usiyo jua uchungu wake ni tamu kwa kula bata
 
Zile hela wakina wema waliisha mpiga zote akataka kufanya biashara ya madini matapeli nao wakampiga saizi anafanya maigizo kama wakina mzee majuto
Hahahahahahahaha kama kina Zembwela na Pembe....
 
Ila jamaa kafsidi sana vinyaku za Tanzania queens#hashtag#hata Mimi ningewalamba kishenzi dadeki zao
 
Back
Top Bottom