Na swisho Mwampamba alishika nafasi ya 2 sijui ya 3Huyo mwisho na nando walishinda mwaka gani? Tz tumeshinda mara mbili tu Richard na Idrisa Acha kupotosha
Lina sanga nilishamsikia akisema anamzimia sana idrisIdris amebaki yeye na yale matege yake. Basi...!!
Hata kibanda hajafanikiwa kuwa nacho...
Na hela zote zimeisha amebaki kuwa cartoonist.
Very hopeless.
Easy said than doneNingekuwa mimi nimezipata hizo Mln.500, ningeweka fixed deposit angalau Mln.400 then hiyo moa mia ningeweka kamjengo ka kistaa, na kamkoko fulani kakali ka kijapan, then kila mwaka natengeneza Mln 20 kama faida kama rate ya profit ni 5% per annual, kama kwa mwezi ni Mln 1.6, sio haba huchoki.
Ila kwa kuwa ni pesa zisizo na jasho, wasanii hawa hudhani hawatafulia.
kama ugoroMbunye ni tamu 😀