Marine creature
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 2,259
- 2,971
Ipo kanda ya ziwaa..mwenyew jana nlikuwa nasafir na nmelala hapa shinyangaa...kuna bado la voda huwa wanatoka kulingana na kandaa...hapa nikiangalia wananambia ipo kanda ya ziwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiwezekan brohNasikia kuna sehemu Shinyanga ambayo unaweza kuuona mlima kilimanjaro. Ni sehemu gani hiyo?
Nataka nii-google.
Hii nilihadithiwa na mjomba wangu, sergeant major mstaafu TPDF na alikuwa akifundisha mgambo mkoani Shinyanga.Haiwezekan broh
Ndio mkuu sema nimeisahau jina , pia kuna sehem ipo katavi ukisimama unaweza ona bahari ya Hindi unaweza igoogle piaNasikia kuna sehemu Shinyanga ambayo unaweza kuuona mlima kilimanjaro. Ni sehemu gani hiyo?
Nataka nii-google.
Haya mkuu hamna linaloshindikana chini ya juaHii nilihadithiwa na mjomba wangu, sergeant major mstaafu TPDF na alikuwa akifundisha mgambo mkoani Shinyanga.
Kijijini kwa babu yangu Sing'isi, huwa tunauona mlima Kilimanjaro vizuri sana.
Nakumbuka aliniambia ashawahi kuuona akiwa Shinyanga. Ni mtu wa hadithi nyingi sana, na karibu zote nimethibitisha ukubwani.
Hii thread imenikumbusha tu. N nadhani kuna ukweli.
Soma majibu ya wadau humu kuhusu swali langu, utahakikisha ulichoandika hapo juu .👆👆👆👆👆Haya mkuu hamna linaloshindikana chini ya jua
Ndio, lipo stendi paleMikoa yote ya kanda ya ziwa imepakana na ziwa Viktoria lakini sina hakika na Shinyanga. Je ziwa Viktoria limefika Shinyanga?
Hivi kama ziwa lisingekuepo ingekua kanda gani?Acha kuongea kama hujui,,,Shinyanga ni kanda ya ziwa.
Mara
Mwanza
Shinyanga/khm
Kagera
Simiyu
Geita/chato
Tabora ni kanda ya magharibi.
Labda iwe imehamishiwa hivi karibuni.Kanda ya Ziwa bwana! Ambayo inabeba Shinyanga, Mwanza,Simiyu,Geita,Mara na Kagera
Ukenyenge na wizunza mpaka Zanzibar hapa na hapaGoogle Ibinzamata,Shy pale utapata view ya my. Kilimanjaro vzr lkn ukitaka iwe clear kabisa sogea mitaa ya Upongoji/Ndala/Ngokolo huko vilele vya Kibo na Mawenzi vinaoneakana clear kwa 100%.
Yah tukiwa Shybush Dume la Kanda Umiseta......Labda iwe imehamishiwa hivi karibuni.
Miaka hiyo hata mitihani ya kanda kanda ya Magharibi ilikuwa Tabora, Shinyanga na Kigoma.
Utakuwa umegladueti Maswa girls....VictoriaNi kanda ya Ziwa.
🤣🤣🤣🤣🤣Hahaa..upongoji hivi bado wanauza pombe za kienyeji na bangi??
#MaendeleoHayanaChama
🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu umevunja bendiGuys,
Mnaongelea nini???
Sijaelewa chochote
Usiwaambie hii siri ..Manonga inamwaga maji Atlantic Ocean....Hapana huo mkia wa kushoto unaishia Kijiji kimoja kinaitwa isole kipo sengerema isipokuwa kuna mto ambao unamwaga maji ziwa Victoria unaitwa ‘nyaruhwa' huo ndio unaoweza kufika sehem ya shinyanga
Mkuu shikamooHii catchment ndiyo inaanzia Lyabukande kupitia Salawe ?
Manonga jee?Nadhani hili ndio jibu sahihi
Wewe shenzi sana Mkuu mpaka UMEINGIA FILDIUnauona huo mkia wa kushoto? Huo ndiyo unanipa utata. Unahesabika ni ziwa limefika Shinyanga? Wenyeji wanaopajua wanasemaje? Si swala la kugoogle tu na kupata jibu.
View attachment 1991273
Kwa upande wa elimu ni hivyo lakini kiuhalisia ni kanda ya ZiwaLabda iwe imehamishiwa hivi karibuni.
Miaka hiyo hata mitihani ya kanda kanda ya Magharibi ilikuwa Tabora, Shinyanga na Kigoma.
Hivi kama ziwa lisingekuepo ingekua kanda gani?