igogondwa
JF-Expert Member
- Aug 1, 2021
- 2,597
- 3,373
Kanda ya Kaskazini ni Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Manyara.Manyara ipo Kanda ya Kati au kaskazini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanda ya Kaskazini ni Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Manyara.Manyara ipo Kanda ya Kati au kaskazini?
Mbona tunapeana Shikamoo tena mkuu ?Mkuu shikamoo
Uhalisia upi ?Kwa upande wa elimu ni hivyo lakini kiuhalisia ni kanda ya Ziwa
Kwani elimu ina mwisho jombaa si umesikia jana mahakamani koplo Kaulizwa na Wakili msomi Mallya Terrorism ni nini yeye akajibu ni UTALII?Yaani we fala na swali lako hili la kindezi. Elimu ya msingi somo la uraia/jiografia linafundishwa. Hujasoma shule ya msingi?
Picha tafadharGoogle Ibinzamata,Shy pale utapata view ya my. Kilimanjaro vzr lkn ukitaka iwe clear kabisa sogea mitaa ya Upongoji/Ndala/Ngokolo huko vilele vya Kibo na Mawenzi vinaoneakana clear kwa 100%.
Nimesema kwamba "Nasikia"Kwanini wachagga wasiwe matajiri na ndiyo mlima uko pale pale matokeo yao wengine huangukia kwenye ulevi/mbege 😁 katika mikoa iliyolala ni Kilimanjaro aisee. Ardhi ni wao hawataki kuuza kwa wageni, nyumba ni wao,,,ndiyomaana hapaendelei.
🤣🤣🤣🤣🤣🍺🍺🍺🍺Kwani elimu ina mwisho jombaa si umesikia jana mahakamani koplo Kaulizwa na Wakili msomi Mallya Terrorism ni nini yeye akajibu ni UTALII?
Soon chato utaongezeka[emoji16]Kanda ya Ziwa bwana! Ambayo inabeba Shinyanga, Mwanza,Simiyu,Geita,Mara na Kagera
Nimesema kwamba "Nasikia"
Kanda ya Kaskazini ni Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Manyara.
Ndiyo maana unajiita Nindo ?
Hivi bado lile bonde la Nindo linazalisha mpunga kwa wingi ?
Uhalisia upi ?
Hapana.Utakuwa umegladueti Maswa girls....Victoria