Hiyi hali inatokana na nini nikiwa mbali nae hujikuta namuwazia sana mpaka roho inauma

Hiyi hali inatokana na nini nikiwa mbali nae hujikuta namuwazia sana mpaka roho inauma

mr pipa

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2021
Posts
3,074
Reaction score
6,472
Wakuu nimepatikana hata kama Ni kupenda hiyi Ni too much

Iko hivi Nina mpenzi nimezaa nae Mara ninaposafiri kuwa mbali na yeye zikipita siku tatu hujikuta namuwazia sana

Na nikiendelea kujikausha nisimtafute hujikuta roho inaniuma sana Ila nikimtafuta tukaongea basi nakuwa na amani

Kuna wakati nilisafiri nikapoteza simu na nilikokuwa kulikuwa hakuna social network ikanibidi nikae bila mawasiliano nae kwa miez

A see nilipata shida sana nikilala usiku ndoto ninazoota ni yeye

Jaman hisia za mapenzi zinanguvu kwangu pesa sio shina na nikitua sehemu wanawake ndio huni approch bas nikajaribu kutongoza wanawake wengine kulala nao lakini wapi, inafikia hatua nagonga bia ili kumfuta kichwan lakin nimeshindwa japo yeye ananipenda kuliko hata mm nimejiridhisha kwenye hili

Wakuu hivi hiyi hali inatokana na nini na nini nifanye maana ye ni binadamu kuna Leo na kesho
 
So natokaje hapa mkuu
Kwanini unataka kutoka? huyo ni mkeo,kama hakuna tatizo lolote,endelea tu kumpenda ila usimuonyeshe wala kumwambia kua huwezi kuishi bila yeye,yani asijue hayo mateso yako juu yake,but yasiwe mapenzi ya upande mmoja,

Pia angalia zaidi wanao kuliko mkeo,mke sio ndugu yako.
 
Kwanini unataka kutoka? huyo ni mkeo,kama hakuna tatizo lolote,endelea tu kumpenda ila usimuonyeshe wala kumwambia kua huwezi kuishi bila yeye,yani asijue hayo mateso yako juu yake,but yasiwe mapenzi ya upande mmoja,

Pia angalia zaidi wanao kuliko mkeo,mke sio ndugu yako.
Nimependa ushauri wako ila nishakosea hayo uliyoyasema nimeshayafanya nimemwmbia bila yy mi so chochote dah kumb nimehalibu mkuu nifanyaje sasa?
 
Back
Top Bottom