Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

Yaani watu wa dar wanatabia za hovyo sijui madawa ya kulevya, sijui wanaume kuolewa yote Tisa ila wizi Sasa yaani dar majitu ni majizi mno ona Sasa Hadi serikali imeamua kuuza bandari kisa tabia zenu za udokozi.
 
Daslam hii maji ya bahari yanatakatisha
Ona Sasa watu wa dar mlivyo hii ni official thread Sasa nyinyi mnakuja kutongozana hapa hivi mbona mna tabia za hovyo mkoani wangechanganya mapenzi na mambo ya msingi sijui kama mnge kula huko dar.
 
Hao unaosema wanaogombani unajua wana mitaji kiasi gani na unajua sera za nchi zinawalinda kiasi gani?.
 
Hao unaosema wanaogombani unajua wana mitaji kiasi gani na unajua sera za nchi zinawalinda kiasi gani?.
Mitaji ni kidogo kidogo mkuu mbona Kuna walimu huko Ruvuma wanalima Kwa kuanza na eka 1 Hadi kufikia eka 30. Wachina na wakenya wengi wanabebana sana wengine wanafika kama wafanyakazi Kwa wengine baada ya mda wanaanzisha vya kwao.
 
Mitaji ni kidogo kidogo mkuu mbona Kuna walimu huko Ruvuma wanalima Kwa kuanza na eka 1 Hadi kufikia eka 30. Wachina na wakenya wengi wanabebana sana wengine wanafika kama wafanyakazi Kwa wengine baada ya mda wanaanzisha vya kwao.
Sawa mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…