Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

Screenshot_20240324-211852.png
Haya Sasa Arusha nako kimewaka
 
Kilwa nako bandari haya Sasa Ile kete ya mwisho imekwenda Wana dar anzeeni kuhama mdogomdogo
Screenshot_20240401-120514.jpg
 
Ukitaka kujua kama Kuna siku dar itapigwa bao, Angalia taarifa ya uwekezaji kwenye kituo Cha uwekezaji TIC . Uwekezaji unaofanyika nchini zaidi ya 85% unafanyika Dar na Pwani.Na ukisema Dar kwa Sasa hivi hauwezi itenganisha na pwani.Kwa hiyo siyo rahisi Dar kuwa nyuma au kuzidiwa na Mkoa wowote.
Kwa nchi yetu Dar bado sana kupitwa
 
Makambako tayari kuna ujenzi wa kiwanda Cha nondo kaeni Kwa kutulia huku tuki ngojea CCECC wamalize kipande Cha nundu lusitu Wana nchi waanze kufua chuma hebu Mk boy tunaomba picha tafadhali kutoka pale ikelu.
 
Makambako tayari kuna ujenzi wa kiwanda Cha nondo kaeni Kwa kutulia huku tuki ngojea CCECC wamalize kipande Cha nundu lusitu Wana nchi waanze kufua chuma hebu Mk boy tunaomba picha tafadhali kutoka pale ikelu.
Soon zitakuja ila tayar ujenz unaendelea pale si kiwanda kimoja ni industrial park ya bidhaa za chuma wamechukua ekari 300
 
Labda na bahari ihamie Dodoma. Hata mbunge wa dodoma vikao vikiisha anakuja dar 🤣🤣🤣
 
Labda na bahari ihamie Dodoma. Hata mbunge wa dodoma vikao vikiisha anakuja dar [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umefuatilia mjadara mzima lakini? Kama bado fuatilia Wenda ukapata kitu challenging kidogo
 
lengo letu sio kushindana na dar bali ni kuwa na majiji mengine yenye hadhi kama ya dar au hata zaidi ya dar. na hayo ndio maendeleo ya taifa tunayoyataka . kongole the late JPM kwa kuhamisha makao makuu ya nchi
 
Sasa hivi majengo mengi Posta hayana wapangaji pametulia hakuna kugombea dalada kama zamani
 
2. Ujenzi wa SGR ya Dar Hadi Dodoma hii itapelekea kuhamishwa kwa viwanda vingi kwani vikiwepo Dodoma kutakuwa na urahisi wa usafirishaji wa mizigo na magarifi kutoka mikoa mingine. Pia viwanda vingi vitapenda kuwa karibu na ofisi za Serikali.
Viwanda havifuati ofisi za serikali au makao makuu ya kisiasa au siasa bali vinafuata malighafi (raw material), miundombinu ya usafirishaji (transportation infrastructure), nishati ya uzalishaji (energy for industrial production) na masoko (watumiaji).
Dar ina wakazi wengi sana na wanazidi kuongezeka kuliko hiyo mini mingine.
Dar kuna bandari, reli na kiwanja cha ndege kikubwa cha kimataifa.
Kuna malighafi za viwandani zinatoka nje zinakuja kwa meli.
 
Back
Top Bottom