Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

Yaani center zote hizi.
Dodoma
Tanga
Mtwara
Makambako
Mbambabay
Bado hatuamini kua dar inapigwa bao kiuchumi kweli wa afrika tuna akili NDOGO.
Mkuu, hizo center zitachangamka, ila kuchangamka kwake kutafanya Dar ichangamke zaidi, hakuna mji wa kuipita Dar in our lifetime
 
Mkuu, hizo center zitachangamka, ila kuchangamka kwake kutafanya Dar ichangamke zaidi, hakuna mji wa kuipita Dar in our lifetime
Usiweke Sheria tuongee fact Kwamba Nini? Ambacho Kwa Sasa Dar itaendelea kua nacho Cha kipekee
 
Usiweke Sheria tuongee fact Kwamba Nini? Ambacho Kwa Sasa Dar itaendelea kua nacho Cha kipekee
Mkuu, kwanza elewa Dar ni moja,
Uwanja wa Ndege,
Embassies zote zipo Dar, hazihamii Dom leo wala kesho,
Ikulu bado issue nyingi zipo Dar,
Vyuo vikuu vingi vipo Dar, UDSM, MUHAS, NIT na ujue hiv ndio vyuo % kubwa ya wanafunzi wa Tz wanataka kusoma hapo, hapo sijataja lundo la vyuo vikuu vingine, hiv vya diploma vipo vingi kuliko idadi ya secondary za hapo Dom,

Miundombinu, wengi wanajitahidi ila Dar kawaacha mbali mno

Utajiri wa mtu mmoja mmoja, Tazama kwenye ile list ya per capital Tz kimkoa, DSM analead kwa mbali na pia ndio ambae pato lake linakua kwa kasi kuliko mkoa wowote ule


Population, population ya city center ya Dar ni 5M+, mji unaokaribia una 1M, utaona ni jinsi gani gape lilivyo kubwa sanaaaa

Ueleww wa mtu mmoja mmoja, mkoa wa Dar ndio mkoa wenye watu wenye kiwango kikubwa cha elimu kuliku mkoa wowote Tz hii,


Fursa za biashara, hapa population na kuwa mkoa tajiri zaidi unaifanya dar iendelee kuwa makao makuu ya biashara Tz kwa muda wa miaka mingi ijayo

Center ya burudani na starehe, No way utaitoa center ya mziki, filamu na mpira kutoka Dar kwenda mkoa wowote ule Tz ndani ya miaka 50 ijayo,

Ukiona hizo point zote na nyingine nyingi sanaaaa, utakuta ona hizo center zitachangamka ila hazitafikia Dar leo au kesho au within our lifetime
 
Mkuu usiweke Sheria kwanini embassies zisihame? wakati serikali itahama na pia uwanja wa Ndege nao utajengwa dodoma
 
Yaani center zote hizi.
Dodoma
Tanga
Mtwara
Makambako
Mbambabay
Bado hatuamini kua dar inapigwa bao kiuchumi kweli wa afrika tuna akili NDOGO.
Mijiyote duniani kwa Sasa ukitaka iende kibiashara zaidi lazima uwe na miundombinu ya viwanda, reli nk pia mji uww na eneo la kutosha na kwa Sasa tanzania center zenye miundo mbinu HiYo tayari imeanza kujipambanua kwa kufanya hivyo mfano makambako,kahama,kwala pwani,dodoma hii system imeanza kuzaa matunda wawekezaji wakubwa wamwmeanza kufungua maviwanda makubwa maeneo hayo kitu ambacho watu wataanza kufata huduma hko kama kuchukua bidhaa mfano makambako wanajenga kiwanda kikubwa Cha nondo bado msd nk ukija pwani wamejenga kiwanda kikubwa Cha vioo nk ukienda dodoma kiwanda kikubwa Cha mbolea ,kahama hivohivo na bado haya maeneo yote tayar wame target kuweka bandari kavu kutokana na umuhimu wawekezaji tayar serikali imeshaona Kasi ya wawekezaji wakienda maeneo hayo shida ambayo watu wa dsm Hawaijui kuwa dsm imejaa hawezi kupokwa project kubwa ndo maana zimeanza kwenda kwenye center ambazo wawekezaji wanaona ni rahisi kusupply mizigo yao
1702914137702.jpg
1703042105170.jpg
IMG-20231124-WA0135.jpg
 
Mkuu usiweke Sheria kwanini embassies zisihame? wakati serikali itahama na pia uwanja wa Ndege nao utajengwa dodoma
Uwanja wa ndege utahama, ila wasafiri watahama? Utawaambia leo hii Fly Emirates awe anatua Dom ? No way, labda miaka 50 ijayo,

Embassies zote zitabaki Dar, serikali inahamia Dom ila huduma zote ,inatolewa Dom zinatolewa Dar pia, so hakuna haja ya kwenda Dom
 
Ili Dar ipitwe na mikoa mingine inabidi wahamishe ya bandari, Kariakoo na majengo yote ya Dar.
 
ukitaka kujua dar kubwa angalia malalamiko ya foleni,halafu iangalie iyo dodoma yako ambayo ikifika saa moja jioni usafiri wa daladala ni wa tabu sana
Hii nimeiona Arusha ikifika saa 2 maduka yotr yameefungwa kupata mahitaji muhimu ni changamoto...daladala saa 3 ndo mwisho kupata ni ngumu mno...naskia iko hvo kwasababu ya usalama kuwa mdogo
 
Lini Mombasa ilikuwa zaidi ya Nairobi?
Anakariri kwa kuwa mombasa ina bandari kama dar alitegemea hukonkenya ndo ingekuwa mji maarufu.
Nairobi ni kubwa kuliko mombasa kwa miaka yote .
 
miaka buku dar haiwezi kupitwa na kamji kokote ka Tz, tena kuwa na no. 2, 3, 4 nk bado ni kuidhalilisha dar. Yaan ilitakiwa tuseme Dar ni ya kwanza, no 2 hadi 14 hakuna, no 15 ni mwanza, 16 ni arusha, 20 dodoma. Nakubali Dodoma inaweza kuipita miji mingine yote in 10 to 15 yrs but not Dar. So far ukitoa Dar, dodoma ndio mji unaoongoza kwa kukua kwa kasi
Dodoma haikui kwa kasi,ni kwamba serikali bado inajenga.

Kwa Dar nenda Kariakoo watu wanavunja na kujenga upyaaaa.

Dar ndo mkoa pekee ambao KM 40 pande zote kuna maendeleo
 
Nimezaliwa na kukua Dar ila ni pamawaida sana labda kwa idadi ya watu na bandari ila kama umetembea miji ya Nairobi N. K ndio utaamini na kujua kwamba maendeleo sio bandari tu
 
Labda miaka 50 ijayo mkuu. Dar ina watu wengi mnooooooooo
Quantity au quality? wengi kweli halina ubishi ila wenye uwezo kwa maana purchasing power labda 30% tu population. Dar maeneo yenywe watu wengi ni maneneo maskini sana uwezo wakununua sigara moja moja na mafuta ya kupima.
 
Quantity au quality? wengi kweli halina ubishi ila wenye uwezo kwa maana purchasing power labda 30% tu population. Dar maeneo yenywe watu wengi ni maneneo maskini sana uwezo wakununua sigara moja moja na mafuta ya kupima.
Kweli kabisa watu wa mikoani wengi wao wanamaisha mazuri ukilinganisha na wa Dar sema tu wengi wanang'ang'ania kukaa Dar
 
Mji niliopo idadi ya watu wanaotaka kuhamia dar imepungua sana tofauti na miaka ya nyuma,idadi ya wafanyabiashara wanaofwata mzigo nje imekuwa kubwa,wameacha kuchukua dar lakini hata huduma nyingi zilizokuwa znafwatwa dar Sasa zinapatikana hapahapa,mambo yanabadilika.
 
Back
Top Bottom