Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

Ama kweli dar mna viwanda vingi😁😁😁😁
 

Attachments

  • Screenshot_20231109-185907.png
    Screenshot_20231109-185907.png
    109.9 KB · Views: 11
Kama unafanya biashara ungejua kuwa upepo umechange ila kama unasikiliza story vijiwen huwezi jua now watu wamefunguka mno kibiashara mzee mikoa watu watu wanenda moja kwa moja china Dubai nk na bado nchi za east Africa wanaenda moja kwa moja maeneo ambako uzalishaji upo hii imefanya mikoa mingi kufunguka kutokana na miundombinu kuimarika tofauti na zamani
Hii nakubali
 
Ongea kitu kingine Dar ni moto wa kuotea mbali kabisa. Huko mikoa mingine mkifika hatua ya kutupa manyoya tu katika maandalizi ya kuuza kitoweo kuku basi mtaipiku Dar. Dar Kila biashara safi, hata kama kazi yako kuuza vichwa vya kuku au kukaanga utumbo wa broiler unaishi na unalipa kodi fresh.
 
Wakuu ni hivi kutokana Hali ilivyo sasa naona kuna kila sababu ambayo itaitoa Dar kama namba moja katika swala Zima la uchumi. Sababu ni hizi.

1. Kuhamishwa Kwa ikulu na ofisi za Serikali. Hii imepunguza idadi kubwa ya watu ambao wangelazimika kusafiri na kuwepo mjini Dar. Hivyo imepunguza wananuzi wa mahitaji na huduma mji Dar es Salaam.

2. Ujenzi wa SGR ya Dar Hadi Dodoma hii itapelekea kuhamishwa kwa viwanda vingi kwani vikiwepo Dodoma kutakuwa na urahisi wa usafirishaji wa mizigo na magarifi kutoka mikoa mingine. Pia viwanda vingi vitapenda kuwa karibu na ofisi za Serikali.

3. Ujenzi wa miundo mbinu Bora Kwa mikoa mingine Kwa kipindi kifupi kilichopita tumeshuhudia ujenzi wa miundo yenye tija Kwa mikoa mingine Mfano mpango wa upanuzi wa bandari ya Mtwara na ya Mbambabay pia ujenzi wa reli ya Mbambabay Hadi Mtwara. Kwa hiyo baadhi ya mizigo itapungua bandari ya Dar pia baadhi ya viwanda vitajengwa huko Mtwara.

4. Ukuaji wa science na technology Kwa Sasa rasilimali nyingi ambazo zilikua hazivuniki lakini Kwa Sasa Kwa mashine za kisasa za bei nafuu. Zimefanya hata wazawa na wageni wakizitumia kuvuna rasilimali zilipo mkoani Mfano Iringa kumekuwepo na viwanda vingi vya playwood ambavyo Kwa Sasa vingi vinamatawi Njombe hivi vimeifanya Dar kupunyuliwa mkiani Kwa uchumi na Iringa na uwepo wa solar na bodaboda n.k umefanya watu waweze kulima hata sehemu za mbali.

5.Ukuwaji wa center nyingine za kibiashara kama vile Mwanza, Makambako na Dodoma kutapunguza umaarufu wa Dar.

Karibu Kwa mjadala
ukitaka kujua dar kubwa angalia malalamiko ya foleni,halafu iangalie iyo dodoma yako ambayo ikifika saa moja jioni usafiri wa daladala ni wa tabu sana
 
Wakuu ni hivi kutokana Hali ilivyo sasa naona kuna kila sababu ambayo itaitoa Dar kama namba moja katika swala Zima la uchumi. Sababu ni hizi.

1. Kuhamishwa Kwa ikulu na ofisi za Serikali. Hii imepunguza idadi kubwa ya watu ambao wangelazimika kusafiri na kuwepo mjini Dar. Hivyo imepunguza wananuzi wa mahitaji na huduma mji Dar es Salaam.

2. Ujenzi wa SGR ya Dar Hadi Dodoma hii itapelekea kuhamishwa kwa viwanda vingi kwani vikiwepo Dodoma kutakuwa na urahisi wa usafirishaji wa mizigo na magarifi kutoka mikoa mingine. Pia viwanda vingi vitapenda kuwa karibu na ofisi za Serikali.

3. Ujenzi wa miundo mbinu Bora Kwa mikoa mingine Kwa kipindi kifupi kilichopita tumeshuhudia ujenzi wa miundo yenye tija Kwa mikoa mingine Mfano mpango wa upanuzi wa bandari ya Mtwara na ya Mbambabay pia ujenzi wa reli ya Mbambabay Hadi Mtwara. Kwa hiyo baadhi ya mizigo itapungua bandari ya Dar pia baadhi ya viwanda vitajengwa huko Mtwara.

4. Ukuaji wa science na technology Kwa Sasa rasilimali nyingi ambazo zilikua hazivuniki lakini Kwa Sasa Kwa mashine za kisasa za bei nafuu. Zimefanya hata wazawa na wageni wakizitumia kuvuna rasilimali zilipo mkoani Mfano Iringa kumekuwepo na viwanda vingi vya playwood ambavyo Kwa Sasa vingi vinamatawi Njombe hivi vimeifanya Dar kupunyuliwa mkiani Kwa uchumi na Iringa na uwepo wa solar na bodaboda n.k umefanya watu waweze kulima hata sehemu za mbali.

5.Ukuwaji wa center nyingine za kibiashara kama vile Mwanza, Makambako na Dodoma kutapunguza umaarufu wa Dar.

Karibu Kwa mjadala
Ndio tunataka hio sio kurundika kila kitu mkoa mmoja watu wanajazana humo mpk serikali inazidiwa kutoa huduma za kijamii
 
Ongea kitu kingine Dar ni moto wa kuotea mbali kabisa. Huko mikoa mingine mkifika hatua ya kutupa manyoya tu katika maandalizi ya kuuza kitoweo kuku basi mtaipiku Dar. Dar Kila biashara safi, hata kama kazi yako kuuza vichwa vya kuku au kukaanga utumbo wa broiler unaishi na unalipa kodi fresh.
Yaani mentality za watu dar sijui ziko vipi. Yaani hizo biashara zenu za uongo na kweli kama hizo ulizotaja ndio kigezo kuwa dar ndio mkoa ambao hautakuja kupitwa.
 
ukitaka kujua dar kubwa angalia malalamiko ya foleni,halafu iangalie iyo dodoma yako ambayo ikifika saa moja jioni usafiri wa daladala ni wa tabu sana
Mkuu nakusii uwe unasoma na comments zilizopita tumeelea vyema huko awali
 
miaka buku dar haiwezi kupitwa na kamji kokote ka Tz, tena kuwa na no. 2, 3, 4 nk bado ni kuidhalilisha dar. Yaan ilitakiwa tuseme Dar ni ya kwanza, no 2 hadi 14 hakuna, no 15 ni mwanza, 16 ni arusha, 20 dodoma. Nakubali Dodoma inaweza kuipita miji mingine yote in 10 to 15 yrs but not Dar. So far ukitoa Dar, dodoma ndio mji unaoongoza kwa kukua kwa kasi
 
miaka buku dar haiwezi kupitwa na kamji kokote ka Tz, tena kuwa na no. 2, 3, 4 nk bado ni kuidhalilisha dar. Yaan ilitakiwa tuseme Dar ni ya kwanza, no 2 hadi 14 hakuna, no 15 ni mwanza, 16 ni arusha, 20 dodoma. Nakubali Dodoma inaweza kuipita miji mingine yote in 10 to 15 yrs but not Dar. So far ukitoa Dar, dodoma ndio mji unaoongoza kwa kukua kwa kasi
Bila hoja hayo ni makelele
 
Endeleeni kukaza mafuvu mbambabay [emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]
Screenshot_20231209-214418.jpg
 
Mnaosema dar itabaki kuwa juu nendeni Nairobi harafu mkatembee na mombasa muone nairobi ilivyoiacha mombasa
Sasa si Bora hata ya mombasa bandari kuu IPO moja ila tz sasa zinakua 3 baharini na hiyo ya mtwara mizigo itashushwa Hadi ya Malawi, musumbiji na zambia. Bado mtu anakuambia nakupigwa bao ni miaka 1000
 
Yaani center zote hizi.
Dodoma
Tanga
Mtwara
Makambako
Mbambabay
Bado hatuamini kua dar inapigwa bao kiuchumi kweli wa afrika tuna akili NDOGO.
 
Daah!
We jamaa unatumia vibaya uhuru wa maoni.
Kweli kabisa unawaza hivyo vijiji vitaipita Dar?
Vijiji vinaipunyua dar Kwa nyuma Kwa utajiri basi hata hio dar ni kijiji tu kilicho changa amka.
 
Back
Top Bottom