Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

Shida mmeamua kubishana ila ukweli ni kwamba serikal ikiamua kuacha uchumi flani ubaki kweny asili yake...trust me baada ya 10 years gap la dar na mikoa mingne litakua dogo kabisa.

Mikoa inayongoza kuwa na ongezeko kubwa la watu kwa sas ni dom,mwanza na dar tofauti na miaka ya nyuma unakuta dar ndo inaongoza kwa ongezeko la watu.

Sijui bandar kavu zitaopperate vipi ila nahisi kuna mapato ya bandar ya dar yatapungua.

Kanda ya ziwa ni nyumbani kwa madini ila HQ ziko dar na kodi zinalipa dar.Some changes zinafanyika hili la HQ kubaki sehem ya mradi itaipunguzia dar ushawishi kiuchumi.

Kuna watu huongelea NEW YORK NA WASHINGTON MARA ABUJA NA LAGOS SIJUI MUMBAI NA NEW DELHI HAO SIO TANZANIA SIS NI NI WALE ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI.

DODOMA ITAIPUNGUZIA POWER DAR HUKU MIKOA MINGINE IKIZIDI KUISOGELEA DAR NA KUIPITA KABISA.

SAIV MWANZA NDO MKOA UNAOONGOZA KWA NYUMBA ZINAZOENDELEA KUJENGWA HII NI ISHARA MWANZA INAKUA KULIKO SEHEM YOYOTE NCHINI

Vipi kuhusu nairobi na mombasa
Hakuna mkoa wa kuifikia dar nimetembea mikoa mingi tanzania!


Dar ndio mkoa purchasing power ni kubwa. Huku ndizi Moja Kuna maeneo unauziwa 200 na watu wananunua huko mkoani 200 unapewa ndizi hata 3.





Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
 
Aisee, nlishawa kuwa na jamaa zangu nasoma nao mkoa fulan wakawa wanaponda sana dar siku ya kuja ndio mentality zap zilichench , kuna mdogo wangu alikuwa anafanya kazi mwanza waliposema tunakuhamishia dar aligoma katu katu wakamwambia wewe lazima uende kule yule wa kule aje huku manake yule mlevi sana sasa akakubali kishingo upande akaja sasa ana miaka miwili hataki tena ishue ya kuondoka na anajishangaa kwanini alikuwa anangangania kukaa na wachimba chumvi huko mbele , kashainvest na kazi anafanya na maisha yanaenda inakuaga rahis sana kuilinganisha dar na kijiji chako ukiwa huko kijijin kwako ila ukifika mjini ukakaa mifumo ikakaa vizuri unaanza kuiona tofauti….
Kwani nani hajaishi dar jamani ni ushamba tu unawasumbua. Kwamba wageni wakizungu na kichina niwajinga wanavyowekeza mikoani
 
2000 wanaendesha vx hafu 1m maskini Chali wanalipwa buku nne Kwa Mo na wahindi wenzie.
Sasa si ndio inakuwaga hivyo kwenye miji mikubwa hata ukienda mumbai ndio hivyo hivyo, unashindwa kuelewa ? Nliwah kusoma shule ya watu wengi saaana wa div 1.7 wapo wengi na wa 0 wapo wengi vile vile…. Huwez kufananisha bwana Iringa na hata Dodoma saivi… mkoa hauna hata supermaket moja sasa ni wakufananisha kweli ?
 
Hakuna mkoa wa kuifikia dar nimetembea mikoa mingi tanzania!


Dar ndio mkoa purchasing power ni kubwa. Huku ndizi Moja Kuna maeneo unauziwa 200 na watu wananunua huko mkoani 200 unapewa ndizi hata 3.





Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Sema tu ndizi uko hazipo zinatoka mkoani na zinasafirishwa kwa pesa sio sijui purchasing power ni kubwa
 
Wakuu ni hivi kutokana Hali ilivyosasa naona kuna kila sababu ambayo itaitoa Dar kama namba moja katika swala Zima la uchumi. Sababu ni hizi.

1. Kuhamishwa Kwa ikulu na ofisi za serikali. Hii imepunguza idadi kubwa ya watu ambao wangelazimika kusafiri na kuwepo mjini Dar. Hivyo imepunguza wananuzi wa mahitaji na huduma mji Dar es salaam.

2. Ujenzi wa SGR ya Dar Hadi Dodoma hii itapelekea kuhamishwa kwa viwanda vingi kwani vikiwepo Dodoma kutakua na uraisi wa usafirishaji wa mizigo na magarifi kutoka mikoa mingine. Pia viwanda vingi vitapenda kuwa karibu na ofisi za serikali.

3. Ujenzi wa miundo mbinu Bora Kwa mikoa mingine Kwa kipindi kifupi kilichopita tumeshuhudia ujenzi wa miundo yenye tija Kwa mikoa mingine Mfano mpango wa upanuzi wa bandari ya Mtwara na ya Mbambabay pia ujenzi wa reli ya Mbambabay Hadi Mtwara. Kwa hiyo baadhi ya mizigo itapungua bandari ya Dar pia baadhi ya viwanda vitajengwa huko Mtwara.

4. Ukuaji wa science na technology Kwa Sasa rasilimali nyingi ambazo zilikua hazivuniki lakini Kwa Sasa Kwa mashine za kisasa za bei nafuu. Zimefanya hata wazawa na wageni wakizitumia kuvuna rasilimali zilipo mkoani Mfano Iringa kumekuwepo na viwanda vingi vya playwood ambavyo Kwa Sasa vingi vinamatawi Njombe hivi vimeifanya Dar kupunyuliwa mkiani Kwa uchumi na Iringa na uwepo wa solar na bodaboda n.k umefanya watu waweze kulima hata sehemu za mbali.

5.Ukuwaji wa center nyingine za kibiashara kama vile Mwanza, Makambako na Dodoma kutapunguza umaarufu wa Dar.


Karibu Kwa mjadala
Acha kufananisha dsm na mambo ya kipumbavu
 
Kikubwa hapo ni population ambayo kwa kiasi kiukubwa ni watu wa kipato cha kati kwa sababu ni maskini wachache sana wa dar wanaweza kula sato na sangara zaidi ya dagaa mchele

Sasa hao wa kipato cha kati ni kina nani ? ?..

Wafanyakazi wa serikali, diplomats, watu wanaofanya kazi kwenye international NGO's na mashirika makubwa binafsi

Sasa hawa wote serikali ikihamia Dar, ni nani atabaki hapo kwa ajili ya operations

Msalato airport ikiisha na kupokea international flights, unadhani hao kina Obama au international delegates watashukia dar

Haya kwenye huduma za Afya, unaongelea enzi za muhimbili kuwa the main deal.. Juzi tu hapo makamu wa rais katibiwa Benjamin. Unadhani kiongozi gani atarudi muhimbili

Mtoa mada hajaongelea enzi za dar kuwa kila kitu, anaongelea zama hizi ambapo Dar si kila kitu
Mkuu labda aje raisi kichaa, ila serikali haihami Dar, sio leo wala kesho, itafungua makao makuu Dodoma, ila shughuli zile zile na huduma zile zile za makao makuu zitapatikana Dar, yan et siku serikali iseme pale magogoni raisi hatakaa tena pafungwe 😂 hapana aiseee


Kuhusu balozi za kimataifa, hizi wanaamua wao wakae wapi, na sidhani kuna balozi itaenda ikajitese kukaa Dodoma iache Dar,


Dar itapungua nguvu ya ushawishi sawa ila bado itakuwa kinara hapa Tz kwa miaka mingi sana ijayo,
Serikali kufanya mkoa wa pwani kuwa mkoa wa kiviwanda hio ndio ilipiga muhuri kuwa Dar haitafuta utawala wake kwa miaka mingi sana ijayo,
 
Wafanyakazi wa serikali, diplomats, watu wanaofanya kazi kwenye international NGO's na mashirika makubwa binafsi

Sasa hawa wote serikali ikihamia Dar, ni nani atabaki hapo kwa ajili ya operations
Hata Washington na Beijing ni miji ya kiserikali, diplomats, international NGOs na mashirika makubwa duniani yako humo yanaoperate

Lakini GDP za majiji hayo haijaifikia California au Shanghai miji ya kibiashara
 
Sasa si ndio inakuwaga hivyo kwenye miji mikubwa hata ukienda mumbai ndio hivyo hivyo, unashindwa kuelewa ? Nliwah kusoma shule ya watu wengi saaana wa div 1.7 wapo wengi na wa 0 wapo wengi vile vile…. Huwez kufananisha bwana Iringa na hata Dodoma saivi… mkoa hauna hata supermaket moja sasa ni wakufananisha kweli ?
Mkuu hatuoongelei majengo sijui masuper marketi tuongelea uchumi sawa tuangalia GDP na PPP. Inaweza ukawa na masuper market halafu. Kuna watu ni ombaomba na Kuna watu wanalala nje. Hafu mkoa ambao Hauna supermarket mtu kuzeeka bila nyumba yenye bati na laana.
 
Wakuu ni hivi kutokana Hali ilivyosasa naona kuna kila sababu ambayo itaitoa Dar kama namba moja katika swala Zima la uchumi. Sababu ni hizi.

1. Kuhamishwa Kwa ikulu na ofisi za serikali. Hii imepunguza idadi kubwa ya watu ambao wangelazimika kusafiri na kuwepo mjini Dar. Hivyo imepunguza wananuzi wa mahitaji na huduma mji Dar es salaam.

2. Ujenzi wa SGR ya Dar Hadi Dodoma hii itapelekea kuhamishwa kwa viwanda vingi kwani vikiwepo Dodoma kutakua na uraisi wa usafirishaji wa mizigo na magarifi kutoka mikoa mingine. Pia viwanda vingi vitapenda kuwa karibu na ofisi za serikali.

3. Ujenzi wa miundo mbinu Bora Kwa mikoa mingine Kwa kipindi kifupi kilichopita tumeshuhudia ujenzi wa miundo yenye tija Kwa mikoa mingine Mfano mpango wa upanuzi wa bandari ya Mtwara na ya Mbambabay pia ujenzi wa reli ya Mbambabay Hadi Mtwara. Kwa hiyo baadhi ya mizigo itapungua bandari ya Dar pia baadhi ya viwanda vitajengwa huko Mtwara.

4. Ukuaji wa science na technology Kwa Sasa rasilimali nyingi ambazo zilikua hazivuniki lakini Kwa Sasa Kwa mashine za kisasa za bei nafuu. Zimefanya hata wazawa na wageni wakizitumia kuvuna rasilimali zilipo mkoani Mfano Iringa kumekuwepo na viwanda vingi vya playwood ambavyo Kwa Sasa vingi vinamatawi Njombe hivi vimeifanya Dar kupunyuliwa mkiani Kwa uchumi na Iringa na uwepo wa solar na bodaboda n.k umefanya watu waweze kulima hata sehemu za mbali.

5.Ukuwaji wa center nyingine za kibiashara kama vile Mwanza, Makambako na Dodoma kutapunguza umaarufu wa Dar.


Karibu Kwa
Wakuu ni hivi kutokana Hali ilivyosasa naona kuna kila sababu ambayo itaitoa Dar kama namba moja katika swala Zima la uchumi. Sababu ni hizi.

1. Kuhamishwa Kwa ikulu na ofisi za serikali. Hii imepunguza idadi kubwa ya watu ambao wangelazimika kusafiri na kuwepo mjini Dar. Hivyo imepunguza wananuzi wa mahitaji na huduma mji Dar es salaam.

2. Ujenzi wa SGR ya Dar Hadi Dodoma hii itapelekea kuhamishwa kwa viwanda vingi kwani vikiwepo Dodoma kutakua na uraisi wa usafirishaji wa mizigo na magarifi kutoka mikoa mingine. Pia viwanda vingi vitapenda kuwa karibu na ofisi za serikali.

3. Ujenzi wa miundo mbinu Bora Kwa mikoa mingine Kwa kipindi kifupi kilichopita tumeshuhudia ujenzi wa miundo yenye tija Kwa mikoa mingine Mfano mpango wa upanuzi wa bandari ya Mtwara na ya Mbambabay pia ujenzi wa reli ya Mbambabay Hadi Mtwara. Kwa hiyo baadhi ya mizigo itapungua bandari ya Dar pia baadhi ya viwanda vitajengwa huko Mtwara.

4. Ukuaji wa science na technology Kwa Sasa rasilimali nyingi ambazo zilikua hazivuniki lakini Kwa Sasa Kwa mashine za kisasa za bei nafuu. Zimefanya hata wazawa na wageni wakizitumia kuvuna rasilimali zilipo mkoani Mfano Iringa kumekuwepo na viwanda vingi vya playwood ambavyo Kwa Sasa vingi vinamatawi Njombe hivi vimeifanya Dar kupunyuliwa mkiani Kwa uchumi na Iringa na uwepo wa solar na bodaboda n.k umefanya watu waweze kulima hata sehemu za mbali.

5.Ukuwaji wa center nyingine za kibiashara kama vile Mwanza, Makambako na Dodoma kutapunguza umaarufu wa Dar.


Karibu Kwa mjadala
Yani kama ujui watu wanao fanya daresqlam kuendesheka ni vyuo nishafanya sana utafiti kipindi vyuo vimefungwa biashara inakua ngumu sana. Kwaiy wanafunz weng ndo wanafanya biashara inakua sar kuliua jiji la dar kibiashara labla waweke vikwazo ata kupunguza biashara kwa sababu yako ni uongo weng wanapenda biashara dar kwasababu pasha changamka mda sana. Na amna jiji la kulipiga chini
 
Mkuu una point ila mkuu dar ndio hub ya hii nchi so ni kila kitu kwa sasa labda miaka mingi ijayo ila bado dar inajitosheleza kwa kila kitu masta na hii nchii kwa ukubwa sana unaitegemea dar es salaam ndio mana kila siku wanajitahid kufix miundombinu ili kuweza kuendana na mahitaji ya watu wanaokuja dar kila siku mamia kwa mamia na wakija hawatoki hata kama wanashindia mlo mmoja…

Na hapa ndipo tunaongelea miaka mingi ijayo

Tuulize sisi tuliokulia mikoani enzi hizo, mtu ukiskia dar unatetemeka ila siku hizi vitu vilivyo dar, hata mikoani kwa kiasi chake vipo

Na hilo la watu kuivumilia Dar ni kwa sababu kulikuwa hakuna alternative.

chuo kikubwa kipo dar, huduma za kiafya za uhakika "Dar", embassies zote "dar", serikali "Dar", viwanja vya michezo "dar", huduma za mizigo "Dar", HQ za makampuni makubwa hata kama shughuli zake mikoani ila zipo "Dar"

Fikiria vinaanza kuondoka kimoja baada ya kingine, sasa fikiria ikifika siku almost 70% ya vyote viwe dom. Unadhani Dar itabakia kuwa "Dar" Kwenye nchi hii
 
Wakuu ni hivi kutokana Hali ilivyosasa naona kuna kila sababu ambayo itaitoa Dar kama namba moja katika swala Zima la uchumi. Sababu ni hizi.

1. Kuhamishwa Kwa ikulu na ofisi za serikali. Hii imepunguza idadi kubwa ya watu ambao wangelazimika kusafiri na kuwepo mjini Dar. Hivyo imepunguza wananuzi wa mahitaji na huduma mji Dar es salaam.

2. Ujenzi wa SGR ya Dar Hadi Dodoma hii itapelekea kuhamishwa kwa viwanda vingi kwani vikiwepo Dodoma kutakua na uraisi wa usafirishaji wa mizigo na magarifi kutoka mikoa mingine. Pia viwanda vingi vitapenda kuwa karibu na ofisi za serikali.

3. Ujenzi wa miundo mbinu Bora Kwa mikoa mingine Kwa kipindi kifupi kilichopita tumeshuhudia ujenzi wa miundo yenye tija Kwa mikoa mingine Mfano mpango wa upanuzi wa bandari ya Mtwara na ya Mbambabay pia ujenzi wa reli ya Mbambabay Hadi Mtwara. Kwa hiyo baadhi ya mizigo itapungua bandari ya Dar pia baadhi ya viwanda vitajengwa huko Mtwara.

4. Ukuaji wa science na technology Kwa Sasa rasilimali nyingi ambazo zilikua hazivuniki lakini Kwa Sasa Kwa mashine za kisasa za bei nafuu. Zimefanya hata wazawa na wageni wakizitumia kuvuna rasilimali zilipo mkoani Mfano Iringa kumekuwepo na viwanda vingi vya playwood ambavyo Kwa Sasa vingi vinamatawi Njombe hivi vimeifanya Dar kupunyuliwa mkiani Kwa uchumi na Iringa na uwepo wa solar na bodaboda n.k umefanya watu waweze kulima hata sehemu za mbali.

5.Ukuwaji wa center nyingine za kibiashara kama vile Mwanza, Makambako na Dodoma kutapunguza umaarufu wa Dar.


Karibu Kwa mjadala
Kijana rudi tena ufanye upya Research yako....Alafu jitahidi kupunguza siasa kwenye Research yako
 
Watu wanavyosema Dar unadhani hakuna biashara mpya zinazaliwa Dar au wanadhani dar itasimama kuiacha hio mikoa ije,
 
Back
Top Bottom