MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Dkt Slaa hawezi kurudi kwenye siasa za majukwaani!Anarudi ulingoni kiaina.
Utamwona soon.
Watanzania Wana maajabu mengiNchi wanasiasa wanawafanya watu kama misukule
Hivi bado mnaamini mageuzi ya kweli yataletwa na vyama,wanasiasa
Ova
Akitamka kugombea Jimbo lolote Tz Ili aingie bungeni Kuna wa kumzuia?Dkt Slaa hawezi kurudi kwenye siasa za majukwaani!
Narudia tena kwa msisitizo! Slaa hatogombea tena na wala hutomuona jukwaani.Akitamka kugombea Jimbo lolote Tz Ili aingie bungeni Kuna wa kumzuia?
We ni mwanae au mmoja wa wanafamilia wake Hadi umsemee?Narudia tena kwa msisitizo! Slaa hatogombea tena na wala hutomuona jukwaani.
Upinzani yote siyo CHADEMA pekee, hamna mtu anayeweza kucheza na umma/ nyomi Kama Dk Wilbrod Slaa, siyo Mbowe, siyo Lissu wala Zitto. Kwa mara hii wanaingia ukumbini bila huyu gwiji orator ndg Slaa.
Upinzani yote hamna mtu atakayeweza kuunganisha takwimu, uchambuzi pamoja na uchaguzi sahihi wa maneno kufikisha point kwa hadhira.
Ngojea tuone itakavyofanya kazi.
Dkt Slaa hawezi kurudi kwenye siasa za majukwaani!
Narudia tena kwa msisitizo! Slaa hatogombea tena na wala hutomuona jukwaani.
Anarudi ulingoni kiaina.
Utamwona soon.
Ila wabongo π€£π€£π€£π€£π€£ kila jambo na enzi zake! Slaa alibebwa na pale alipokua that time. Kwann alipokua CCM hakua maarufu than he was after CCM? Kama kwel ni bora aunge mkono juhudi tuone sparks zake!!!!Upinzani yote siyo CHADEMA pekee, hamna mtu anayeweza kucheza na umma/ nyomi Kama Dk Wilbrod Slaa, siyo Mbowe, siyo Lissu wala Zitto. Kwa mara hii wanaingia ukumbini bila huyu gwiji orator ndg Slaa.
Upinzani yote hamna mtu atakayeweza kuunganisha takwimu, uchambuzi pamoja na uchaguzi sahihi wa maneno kufikisha point kwa hadhira.
Ngojea tuone itakavyofanya kazi.
Watajuana wenyewe huko CCM.Akitamka kugombea Jimbo lolote Tz Ili aingie bungeni Kuna wa kumzuia?
Pole sanaYupo CHADEMA .Na 2025 anagombea Karatu.
mfuate huyo slaa aliko, mwambie atelekeze supermarket yake huko sweden arudi muanzishe chama cha siasa.Upinzani yote siyo CHADEMA pekee, hamna mtu anayeweza kucheza na umma/ nyomi Kama Dk Wilbrod Slaa, siyo Mbowe, siyo Lissu wala Zitto. Kwa mara hii wanaingia ukumbini bila huyu gwiji orator ndg Slaa.
Upinzani yote hamna mtu atakayeweza kuunganisha takwimu, uchambuzi pamoja na uchaguzi sahihi wa maneno kufikisha point kwa hadhira.
Ngojea tuone itakavyofanya kazi.
Hadi tunavyoongea sasa,Watajuana wenyewe huko CCM.
Si yuko ccm , kwanini asipande jukwaa 1 na Lusinde ?Upinzani yote siyo CHADEMA pekee, hamna mtu anayeweza kucheza na umma/ nyomi Kama Dk Wilbrod Slaa, siyo Mbowe, siyo Lissu wala Zitto. Kwa mara hii wanaingia ukumbini bila huyu gwiji orator ndg Slaa.
Upinzani yote hamna mtu atakayeweza kuunganisha takwimu, uchambuzi pamoja na uchaguzi sahihi wa maneno kufikisha point kwa hadhira.
Ngojea tuone itakavyofanya kazi.