Hizi ajali mbili za malori zilinifurahisha sana nilitamani zijirudie

Hizi ajali mbili za malori zilinifurahisha sana nilitamani zijirudie

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Mwanzoni mwa miaka ya 2000 nikiwa likizo kuna lori la kampuni ya bia lilidondoka mtaani kwetu, kufumba na kufumbua hakuna kreti ya bia hata moja, mtaa nzima kila mtu anelewa, tukapata taarifa kuwa polisi wanakuja ku search nyumba kwa nyumba, tulificha zile bia wiki nzima ilikuwani kufyonza tu Kilimanjaro mara Safari lol.

Mwaka 2015 nikiwa mkoa fulani kwa shughuli za kilimo, semi trailer iliyobeba mbolea inapinduka karibu na shamba langu, mfuko mmoja wa mbolea ulikuwa haupungui 60,000. Wahuni waliiba zile mbolea tukauziwa mfuko 20,000.

Wale waliochomoa betri Morogoro wakageuka mishikaki RIP mlikufa kiume.

Utasema ni wizi kama wizi mwingine lakini kumbuka Mungu anajibu maombi kwa njia tofauti, sema Amen.
 
Nakuja ngoja niandae msosi mtu alike
FB_IMG_1726856288727.jpg
 
Mwanzoni mwa miaka ya 2000 nikiwa likizo kuna lori la kampuni ya bia lilidondoka mtaani kwetu,kufumba na kufumbua hakuna kreti ya bia hata moja,mtaanzima kila mtu anelewa,tukapata taharifa kuwa polisi wanakuja ku search nyumba kwa nyumba,tulificha zile bia ,wiki nzima ilikuwani kufyonza tu Kilimanjaro mara Safari lol.

Mwaka 2015 nikiwa mkoa fulani kwa shughuli za kilimo,semi trailer iliyobeba mbolea inapinduka karibu na shamba langu,mfuko mmoja wa mvolea ulikuwa haupungui 60,000.wahuni waliiba zile mbolea tukauziwa mfuko 20000.

Utasema ni wizi kama wizi mwingine lakini kumbuka Mungu anajibu maombi kwa njia tofauti,sema Amen

Kuna nchi moja jirani huko vibaka hutunguliwa kwa risasi kutokea mbali bila huruma.

Huko hata pesa huwa haziokotwi kwenye eneo la ajali.
 
Nakumbuka hapo kwenye roundabout lilianguka lori la majitaka/kinyesi-kimiminika lakini hakuna hata mtu aliyegombania hadi breakdown ilipokuja kulivuta baada ya saa 6
Naikumbuka
 
Mwaka 1982 mtaani kwetu lilianguka roli la condoms 😊
 
Hii ilikuwa mbuzi kufia kwa muhuza supu
 

Attachments

  • VID_20221105_110012.mp4
    27.1 MB
Loli la cement lilianguka Tegeta kibaoni njiapanda ya wazo chanzo ni kufeli breki watu tulijibebea cement za kutosha
 
Bomba la mafuta ya diesel la TAZAM linaloenda zambia lilipasuka usiku wa saa 8 kilichofuata 😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom