Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, kuna watu wanazitumia miaka tangu wazaliwe mpaka wanakufa lakini tatizo la meno halijakingwa na hizo zinazoitwa dawa, sasa zinaqualify vipi kuitwa dawa kama haziwakingi watu dhidi ya magonjwa
Mkuu, kuna watu wanazitumia miaka tangu wazaliwe mpaka wanakufa lakini tatizo la meno halijakingwa na hizo zinazoitwa dawa, sasa zinaqualify vipi kuitwa dawa kama haziwakingi watu dhidi ya magonjwa
Kwani hakuna wanaokingwa? Kwani madawa yaliyotumika kuwatibu wagonjwa kadhaa huko hospitalini na wakafariki yanaondolewa kuwa sio madawa?Mkuu, kuna watu wanazitumia miaka tangu wazaliwe mpaka wanakufa lakini tatizo la meno halijakingwa na hizo zinazoitwa dawa, sasa zinaqualify vipi kuitwa dawa kama haziwakingi watu dhidi ya magonjwa
Lazima iwepo. Inaweza kuwa ipo kwa namna nyingine ya tofauti na nyingi.Kuna dawa natumia hapa na haina hiyo alama. Kuna anayetumia Aha! Hapa?
Duh. Haya bwana. Kila mtu ajue atakavyo ukizingatia ushawahi ona miswaki mobovu iliyotibiwa na dawa za mswaki.SIjawahi sikia mtu ametibiwa meno yanayouma na dawa zinazoitwa za meno
hiyo itakuwa imetengenezewa udongo 😀Kuna dawa natumia hapa na haina hiyo alama. Kuna anayetumia Aha! Hapa?