Hizi Dini bwana

Kwahiyo huyu naye anaitwa BABA MCHUNGAJI,?watu wanakuwa mazwazwa sana,yaani upo busy na michezo ya kitoto eti Mungu sasa huyu siakafanye mazingala ombwe zunguni primary school
Manina nimerudi home hapa kichwa kina ganzi hatari mixer bipolar na kisukari kipo juu nimeingia humu JF nakutana na hiki kituko imenibidi nicheke kwa sauti.
 
Umesahau lile kundi la wajumbe hapa Dom
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…