TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
Kwahiyo huyu naye anaitwa BABA MCHUNGAJI,?watu wanakuwa mazwazwa sana,yaani upo busy na michezo ya kitoto eti Mungu sasa huyu siakafanye mazingala ombwe zunguni primary school
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka hujalala
Tayari nipo kwenye kipande changu cha tandiko napitia pitia jamiiforum nilale.Kaka hujalala
SijalalaKaka hujalala
Manina nimerudi home hapa kichwa kina ganzi hatari mixer bipolar na kisukari kipo juu nimeingia humu JF nakutana na hiki kituko imenibidi nicheke kwa sauti.Kwahiyo huyu naye anaitwa BABA MCHUNGAJI,?watu wanakuwa mazwazwa sana,yaani upo busy na michezo ya kitoto eti Mungu sasa huyu siakafanye mazingala ombwe zunguni primary school
Sijalala 😂😂😂😂Kaka hujalala
Na hao ndio kondoo wenyeweKwanini akalime wakati kuna mabwege
Umesahau lile kundi la wajumbe hapa DomKila mtu na ujinga wake hapo wpo wenye phd,degree na diploma zao wanapiga makofi kwa bashasha zote.
Kuna kundi jingine la wajinga hawa wanunua vitabu vya akina yeriko nyerere na Eric kaflag hawa wote na watu wa dini wajinga wa mwisho ni mitaji mikubwa sana ya wakina kabendera na wakina mwamposa.
Ccm wote ni zero kichwaniUmesahau lile kundi la wajumbe hapa Dom