Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Teh Magu yupo simple sana hasa kwenye uvaaji ila mzee baba raba sebuleni za nini sasa ?
Au Sebule ina Mbigiri ???
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh Magu yupo simple sana hasa kwenye uvaaji ila mzee baba raba sebuleni za nini sasa ?
Au Sebule ina Mbigiri ???
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah...jamani mbona alikwisha sema kitambo...yeye hakuchaguliwa kuja kutafuta mchumba...nini hamuelewi? huu ni uonevu ....[emoji41]
Sent using Beretta ARX 160
Hapo wamechemka sana. Watambue ana maisha yake binafsi.
Inabidi afutwe kazi mara moja hiyo mistake ni kubwa mno maana inaleta picha tofauti sanaKosa Ni la Mwenye Camera kuto edit hicho kipande
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]You can take a man out of sukumaland but you can not take usukuma out of him
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo mr Prez alikuwa anacheki game ya staz VS uganda Code(Nguo) alizotupia nimezielewa,
View attachment 1053285
View attachment 1053284
CC Zero IQ
???Teh Magu yupo simple sana hasa kwenye uvaaji ila mzee baba raba sebuleni za nini sasa ?
Au Sebule ina Mbigiri ???
Sent using Jamii Forums mobile app
cape haiwagi ivo hilo na kapelo
Hahaha!!Kama mkulima wa pamba anayefuatilia malipo yake ushirika baada ya kuvuna
Sent using Jamii Forums mobile app
Yake kivipi wakati pale ni ikulu??TV yake ni curved si chini ya 49''.....tuoneshe yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yani nimecheka hadi sio vizuriwamepinda balaa
Ndio hio hio.Yake kivipi wakati pale ni ikulu??
sema kavaa shati la ACT😛Naona kavaa shati la zambarau alafu ana bonge la raba
😂😂 una kumbukumbuMzee baba yupo ndani lakini raba kubwaaa na mcape wa haja. Hilo shati lake na hiyo suruali nadhani ni nguo zake za usiku maana hata siku ya kukaribisha mwaka 2019 alitokelezea nazo usiku. Mzee baba hoyeeee
na cape ya CCMsema kavaa shati la ACT😛
Kabisa, maanake tulikuwa tunaambiwa mama hakohowiMimi lile jibu la Mama Janeth limenifurahisha kujua kwamba yale tunayosimuliwa eti ana mbully mama wa watu ni ya uongo.
ya FISIEMUna
na cape ya CCM
Ilo haliitaji PhD kuling'amua maana alikuwa anaongea kwa kutania kama baba na wao wakajibu kwa kutania kumbuka hiyo ni familia yakeMie nimependa kuna Mtu kaambiwa Na Rais nyie mnaokula shangilieni akamwambia Na Wewe tutokeee hapo, duuh anamjibu jibu Rais wetu Bila ya adabu
Kabisa, maanake tulikuwa tunaambiwa mama hakohowi