Hizi fake ID za JF kidogo ziniletee balaa

The teh pole sana mkuu, hivi itakuwaje unakuta ni mama ako wa kambo!!!!
 
Pole mangi! chakufanya sasa nipe # yake mimi, ili mimi na wewe tuwe mashemeji!!
 
wachaga wa mjini bwana utawajua tu.halafu unavutiwaje na mtu wa kene forum mwenye jina na dp bandia.walau insta na facebook sawa lakini hadi humu?
 
dah mtongozo moja tu kitu cha namba ulikuwa umisha pata kweli nyie mlikuwa ndugu damu zimeshabihana kwa haraka
 

Nitajie jina lake PM na Mimi ni mtongoze basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…