Hizi fake ID za JF kidogo ziniletee balaa

Hizi fake ID za JF kidogo ziniletee balaa

The teh pole sana mkuu, hivi itakuwaje unakuta ni mama ako wa kambo!!!!
 
Katika kutimiza haja zangu za kirijali leo nimejikuta namtupia mistari binti mmoja maarufu humu ukumbini kwa mfumo wa PM. Sikupata adha ya kuporomoshewa mitusi Kama wadau wengine wanavyolalamikaga kuwa ukimPM binti humu ndani anakumwagia mitusi. Hali ilikuwa shwari mpaka ulipowadia Muda wa kubadilishana contact. Nilipoiweka namba yake kwenye kisemeo changu, lahaula...kumbe ni ni ndugu kabisaaaa...Hali kadhalika na kwake. Tumeombana misamaha na ninaamini yatabaki pale pale. Tuwe makini wadau unaweza tongoza Mkeo. Naamini anaisoma hii sredi, sister..nimeiweka hapa ili iwe fundisho kwa wengine.
Pole mangi! chakufanya sasa nipe # yake mimi, ili mimi na wewe tuwe mashemeji!!
 
wachaga wa mjini bwana utawajua tu.halafu unavutiwaje na mtu wa kene forum mwenye jina na dp bandia.walau insta na facebook sawa lakini hadi humu?
 
dah mtongozo moja tu kitu cha namba ulikuwa umisha pata kweli nyie mlikuwa ndugu damu zimeshabihana kwa haraka
 
Katika kutimiza haja zangu za kirijali leo nimejikuta namtupia mistari binti mmoja maarufu humu ukumbini kwa mfumo wa PM. Sikupata adha ya kuporomoshewa mitusi Kama wadau wengine wanavyolalamikaga kuwa ukimPM binti humu ndani anakumwagia mitusi. Hali ilikuwa shwari mpaka ulipowadia Muda wa kubadilishana contact. Nilipoiweka namba yake kwenye kisemeo changu, lahaula...kumbe ni ni ndugu kabisaaaa...Hali kadhalika na kwake. Tumeombana misamaha na ninaamini yatabaki pale pale. Tuwe makini wadau unaweza tongoza Mkeo. Naamini anaisoma hii sredi, sister..nimeiweka hapa ili iwe fundisho kwa wengine.

Nitajie jina lake PM na Mimi ni mtongoze basi
 
Back
Top Bottom