GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Halafu ni kwanini Madereva Wao na hata Watu wanaokuwemo Siti ya Mbele mara zote tu huwa ni Watu wa Kununa ( Usununu ) na hawana hata dalili za kutoa Tabasamu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo ni namba ya chasisJana nimepishana na IST ina plate namba "NPC "
Itakuwa gari la North Korea kwa KidukuJana nimepishana na IST ina plate namba "NPC "
Wamerogwa na Upumbavu wao wa Kurithishwa Mkuu.Kama hujui jibu ni heri kukaa kimya kama miye, mtoa mada anatafuta msaada (jibu) nanyi mnabeza, enyi wana JF nani aliyewaroga?
Wanaharibu sana.Wamerogwa na Upumbavu wao wa Kurithishwa Mkuu.
huyo Huyo mwanzisha mada ndo mrogaji mwenyewe. kwaiyoo usitafute mchawi mbali.Kama hujui jibu ni heri kukaa kimya kama miye, mtoa mada anatafuta msaada (jibu) nanyi mnabeza, enyi wana JF nani aliyewaroga?
kwaiyoo mkuu kwenye mtihani ukikosea jibu ndo umeharibu mtihani? kaa kwa kutulia Anko.Wanaharibu sana.
Duh!umoja wa wavuta. Bangi
NakaziaPicha tafadhali
Vijana wa hovyo wana majibu ya hovyo sana.Da! uzi umepata majibu ya kila aina!