Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kwaiyoo mkuu kwenye mtihani ukikosea jibu ndo umeharibu mtihani? kaa kwa kutulia Anko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kwaiyoo mkuu kwenye mtihani ukikosea jibu ndo umeharibu mtihani? kaa kwa kutulia Anko.
Ni kweli usemacho.Wapo wengi sana na magari yao DodomaJU =Jeshi Usu
Hapo Kuna TAWA,TFS,TANAPA, NGORONGORO
Zinaanza 01,02,03,04
Picha wakati kashakwambia watu wanokaa kiti cha mbele wote wanakuwa wamenuna,humtakii mleta mada mema nini...?Picha please
UW= UWATU
Nowadays in Tanzania stupidity is a fashion cause every one is stupidKama hujui jibu ni heri kukaa kimya kama miye, mtoa mada anatafuta msaada (jibu) nanyi mnabeza, enyi wana JF nani aliyewaroga?
Hizi JU naona zipo nyingi sana siku hizi. Hiyo USU ina maana gani mkuu.JU =Jeshi Usu
Hapo Kuna TAWA,TFS,TANAPA, NGORONGORO
Zinaanza 01,02,03,04
It is not good to be stupid!Nowadays in Tanzania stupidity is a fashion cause every one is stupid
Na wewe u miongoni mwao walikosa majibu kisha wakaanza kumbeza mtoa mada?kwaiyoo mkuu kwenye mtihani ukikosea jibu ndo umeharibu mtihani? kaa kwa kutulia Anko.