Hizi gari hapana, nitabadilishana na Bodaboda

Ukitaka kunijua au kujua kama similiki au namiliki gari/magari ya aina gani wala sio kazi ngumu mbona, ni suala la uamuzi na muda wako tu.
 
Ukitaka kunijua au kujua kama similiki au namiliki gari/magari ya aina gani wala sio kazi ngumu mbona, ni suala la uamuzi na muda wako tu.
Sawa mkuu mwenye gari zake za maana mjini
 
[emoji122][emoji122][emoji122]
 
*Ukiona unaweza kula milo mi3 na hujui njaa, tambua Kuna mtu hata mlo mmoja hapati
*Ukiweza kumiliki V8 bas tambua Kuna mtu hanauwezo wa kununua hata baiskel
*ukiweza kulipa nauli ya daladala kumbuka kuna watu wanatembea kwa mguu kwa kukosa nauli

Kwenye maisha tuko tofaut tofaut kuna mwngine akimiliki Porte familia/ukoo mzima unampa heshima
 
Noted...[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Ongeeni yote na toeni povu hadi makoo yakauke ila Passo, Fun cargo, Toyota IQ na mengine ya ukoo huo ni sawa kwa sheria na taratibu za kejeli kuyaita Sanlg zenye body ya station wagon
 
Nimecheka sana na comment za wananchi wa JF[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kwa wachaga mnaorudi mkoani kwenu kula sikukuu, kuna yeyote ametoboa Dar-Kilimanjaro akiwa na Fun cargo?
 
Siku hizi watu hawajali muhimu wanatembelea kishuzi!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo hapo umeona uweke Nadia
Hivi Nadia ina ubaya gani??? inamaana we huzijui funcargo? Probox, Nissan cube au Fogo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…