Hizi gari hapana, nitabadilishana na Bodaboda

Hizi gari hapana, nitabadilishana na Bodaboda

.....na wengi wanaotetea huu uzi, ndiyo hawa waliokusanyika hapa..[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
images%20(21).jpg
 
....hivi kukaa kituoni kusubiri mwendokasi au daladala, kugombania na kuingilia madirishani VS kuwa na passo, toyota BB, Toyota Will, Porte,Swift, Nissan March au Nissan cube ukae ndani uwashe kiyoyozi na mziki wa taratibu.....ni kipi afadhali..?
Mbona watz hamueleweki..

Pelekeni usenge huko MBWA nyie.View attachment 1505616
Hahahaha punguza hasira mkuu! Kuna mtu kanishangaza sana hapo juu kuiponda Toyota IQ..



Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
....hivi kukaa kituoni kusubiri mwendokasi au daladala, kugombania na kuingilia madirishani VS kuwa na passo, toyota BB, Toyota Will, Porte,Swift, Nissan March au Nissan cube ukae ndani uwashe kiyoyozi na mziki wa taratibu.....ni kipi afadhali..?
Mbona watz hamueleweki..

Pelekeni usenge huko MBWA nyie.View attachment 1505616
Bora hata mbwa mkuu. Kuna watu wanadharau asee
 
.....na wengi wanaotetea huu uzi, ndiyo hawa waliokusanyika hapa..[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]View attachment 1505617
Kipindi sipo na gari hakuna kitu nilikuwa sikipendi kama kutoka au kwenda kwenye shughuli zangu hasa wakati wa mvua.

Mvua ilinifanya nione gari ni kipaumbele kuliko nyumba.
 
Waswahili masikini utawajua tu ...saikolojia ya binadamu iko hv...yaani kama kitu hawezi kukipata au kumiliki basi ataishia kukiponda na nyodo tu na post zenu zinaonesha humu wengi ni masikini waswahili waliopanga nyumba kwa kutegemea vitunguu ....Kama hamuyapend basi kanunue Lamborghini au tengenezeni ya kwenu kama hata njiti za kiberiti hamuwezi tengeneza....uswahili ni laana humo Kuna umaskini ujeuri na nyodo full laana...acheni uswahili na nyodo za kike..

Unadhani waliotengeneza hayo magari wanakujua ww kapuku wa babati ....watu billions zimewatoka alf ww kapuku unaleta uswahili...na hii ndo sababu tosha Africans hawaendelei.....kwenye uzi wangu hizi tabia niliorodhesha.....watu wanaumiza vichwa wanatengeneza magari nyie mnakaa mnajadiri magari Kama mlichangia kwenye manufacturing...worthless creatures...
 
Habarini Wakuu,

Tangu mwaka wa 2018 June nilikuwa nikihitaji at least kupata usafiri binafsi. Katika mchakato wa kuwashirikisha wajuzi zaidi wa magari na madalali baadhi wamekuwa wakisuggest aina za magari ambayo zilikuwa zinanichekesha sana Wallah

Kuna aina za magari binafsi naona zina muundo mbaya (body structure) hasa kwa Wanaume.

Ikitokea nikapewa zawadi ya magari hayo nitabadilishana na mtu mwenye pikipiki BOXER muda huohuo kabla ya Masaa 6.

Gari hizo ni Porte, Nadia na aina flan ya Suzuki:

Haya ni yale ukipishana na lori na wewe dereva humo ndani unabidi ukwepe pia
 
Gari ni gari as long as it gets you from point A to point B.kama unataka Landcruiser 200series,Bentley bentyaga,Rolls Royce Cullinan,jaguar E,lamborghini Aventador,Mc laren gt, jaguar F type hayo ni maswala ya budget yako Kama inaruhusu.wanao kuwa na gari na shape Kama box wengi wao budget zao lakini wengine huangalia fuel consumption wengine unakuta anapenda kuwa na gari ndogo katika moja ya fleet yake.
Kweli kabisa mkuu, mie nina ami angu ana Landcruiser V8, Noah na Jeep wrangler ila zaidi anatembelea Passo.
 
Hizo gari mm nikiziona najisikia vibaya tu moyoni, utafikiri tulikosana nazo, sijui car makers walifunga macho wakatengeneza body za ajabu hivyo.
asee mm hasa hasa nkiona nadia yaan najiskia vbaya knoma
 
Mi naona kuna baadhi wa wadudu wanatizama alivyo ndio wanafyatua gari kama huyo mdudu
n kwel asee maana mjapan ana matoleo mengi ya magari mpaka kaishiwa mfano ukiangalia vzuri toyota allex na toyota Run X hazna tofaut yaan n gari moja ila ina majna mawili
 
Back
Top Bottom